Ruvuma: Mwanafunzi wa Darasa la 6 afariki katika harakati za kutoa mimba

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Mwanafunzi Monica Ponera wa darasa la 6 Shule ya Msingi Mtumbatimaji Wilaya ya Namtumbo, Ruvuma, amefariki baada ya kufanyika kwa jaribio la kutoa mimba ya Mapacha wawili kwa njia ya kienyeji, inadaiwa Mwanafunzi huyo alipelekwa kwa Mganga wa Jadi na Wazazi wake ili kutoa mimba.


(Picha haihusiani na mwanafunzi aliyefariki)​
 
Aisee siku hizi watoto si wanaingia shule wadogo sana
 
Hii ni mbaya sana, elimu itolewe kwa wazazi pindi watoto wao wanapopata mimba kwamba solution sio kuitoa.
 
Vyakula vinawafanya wavunje ungo mapema.
 
Ooooh!!! Too bad [emoji22][emoji22] [emoji22]
 
Wandendeule wa mgombasi mpaka mtumbati Maji waache ngoma za usiku na miziki ya usiku hasa kipindi hiki cha kiangazi hii inawafanya wapate mda wa kulambana alolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…