Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Naona wazee wamesha lamba asali na imekolea utamu! Mpaka nao hawana maana wamekalia uchawa! Tunaenda wapi?
Taratibu CCM wanaanza kuingiza mambo za kupita bila kupingwa, tusipokaa vizuri hii itasongea mpaka kwenye uchaguzi Mkuu warudishe mambo mambo za 2020.
Imeanza kwa Samia na Nchimbi, ikaenda kwa Silaa, kwa Mchengerwa nako, huku nako upuuzi unaendelea. Hii sio bahati mbaya wakuu, kuna jambo linakuja.
=====
Wazee wa Jimbo la Madaba, mkoani Ruvuma, wakiongozwa na Chief Yukundusi Chabruma Tawete, wamemuomba Mbunge wa jimbo hilo, Dkt. Joseph Kizito Mhagama, kugombea tena katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ili aendelee kuwatumikia wananchi.
Soma Pia:
Taratibu CCM wanaanza kuingiza mambo za kupita bila kupingwa, tusipokaa vizuri hii itasongea mpaka kwenye uchaguzi Mkuu warudishe mambo mambo za 2020.
Imeanza kwa Samia na Nchimbi, ikaenda kwa Silaa, kwa Mchengerwa nako, huku nako upuuzi unaendelea. Hii sio bahati mbaya wakuu, kuna jambo linakuja.
=====
Wazee wa Jimbo la Madaba, mkoani Ruvuma, wakiongozwa na Chief Yukundusi Chabruma Tawete, wamemuomba Mbunge wa jimbo hilo, Dkt. Joseph Kizito Mhagama, kugombea tena katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 ili aendelee kuwatumikia wananchi.
Soma Pia:
- Ruvuma: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
- Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
- Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania