Ruvuma ya sita uchumi kitaifa... SHY pamoja na kuwa na KAHAMA GOLD MINE haiko kwenye 6 bora?

Ruvuma ya sita uchumi kitaifa... SHY pamoja na kuwa na KAHAMA GOLD MINE haiko kwenye 6 bora?

nngu007

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
15,860
Reaction score
5,801
[h=2][/h]JUMATANO, JANUARI 09, 2013 06:49 NA ALPIUS MCHUCHA, RUVUMA

MKOA wa Ruvuma, umepata mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii katika kipindi cha miaka saba, kuanzia mwaka 2005 mpaka 2012. Kwa kutumia vigezo vya msingi, pato la kila mwananchi mkoani humo, limeongezeka kwa asilimia 31.9 imeelezwa.

Akitoa taarifa ya mkoa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika kipindi cha miaka saba kwa waandishi wa habari jana, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, alisema ongezeko hilo limetokana na jitihada kubwa za pamoja za wananchi na Serikali katika kuleta maendeleo.

Alisema Mkoa wa Ruvuma, umekuwa wa sita kitaifa ukitanguliwa na Mkoa wa Dar es Salaam, Iringa, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro.

Aliyataja mafanikio katika sekta ya kilimo kuwa, ni uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kutoka tani 652,291 (2005) hadi tani 1,322,128 (2012) na kufanya uhakika wa usalama wa chakula kuanzia ngazi ya kaya na afya za wananchi kuboreka.

Eneo la umwagiliaji, limeongezeka hekta 4,500 zilizomwagiliwa kwa miundombinu ya asili mwaka 2005, hadi hekta 17,655 mwaka 2012.

Alisema hali hiyo imeongeza uzalishaji wa mazao ya chakula kupitia umwagiliaji wa kisasa kutoka tani 84,096 mwaka 2005, hadi tani 294,018.

Alisema katika sekta ya ushirika, wanachama wake wameongezeka kutoka 22,762 (2005) hadi wanachama 56,047 (2012) na mitaji yake ikiongezeka kutoka Sh 1,781,656,736 (2005) hadi Sh milioni 7,607,213 (2012) na mikopo iliyotolewa ikiongezeka kutoka Sh milioni 1,831,150,835 (2005) hadi Sh 12,244,968,443.

Alisema mavuno kutoka Ziwa Nyasa, yameongezeka kutoka tani 1108.78 zenye thamani ya Sh 704,590,213 mwaka 2005, hadi tani 6,709.12 zenye thamani ya Sh 5,439,239,792, mwaka 2012.

 

Inasikitisha... MKOA MKUBWA kama TABORA pamoja na kuwa na ARDHI nzuri; MADINI bado iko NYUMA ina MAANA viongozi woote wa MKOA huo PESA zinaingia KIBINDONI MWAO???

SHINYANGA kuwa na KAHAMA GOLD MINE ingetosheleza kuwa MKOA BORA acha Mazao ya MAHINDI na PAMBA...
 
Mbali na mambo mengine lakini wangoni wanajituma
Embu vuta fikra mwanamke wa kule anajifungua asubuhi mchana anakwenda zake shamba na mtoto wake mchanga
iweje wasiendelee
 
JUMATANO, JANUARI 09, 2013 06:49 NA ALPIUS MCHUCHA, RUVUMA

MKOA wa Ruvuma, umepata mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii katika kipindi cha miaka saba, kuanzia mwaka 2005 mpaka 2012. Kwa kutumia vigezo vya msingi, pato la kila mwananchi mkoani humo, limeongezeka kwa asilimia 31.9 imeelezwa.

Akitoa taarifa ya mkoa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika kipindi cha miaka saba kwa waandishi wa habari jana, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, alisema ongezeko hilo limetokana na jitihada kubwa za pamoja za wananchi na Serikali katika kuleta maendeleo.

Alisema Mkoa wa Ruvuma, umekuwa wa sita kitaifa ukitanguliwa na Mkoa wa Dar es Salaam, Iringa, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro.

Aliyataja mafanikio katika sekta ya kilimo kuwa, ni uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kutoka tani 652,291 (2005) hadi tani 1,322,128 (2012) na kufanya uhakika wa usalama wa chakula kuanzia ngazi ya kaya na afya za wananchi kuboreka.

Eneo la umwagiliaji, limeongezeka hekta 4,500 zilizomwagiliwa kwa miundombinu ya asili mwaka 2005, hadi hekta 17,655 mwaka 2012.

Alisema hali hiyo imeongeza uzalishaji wa mazao ya chakula kupitia umwagiliaji wa kisasa kutoka tani 84,096 mwaka 2005, hadi tani 294,018.

Alisema katika sekta ya ushirika, wanachama wake wameongezeka kutoka 22,762 (2005) hadi wanachama 56,047 (2012) na mitaji yake ikiongezeka kutoka Sh 1,781,656,736 (2005) hadi Sh milioni 7,607,213 (2012) na mikopo iliyotolewa ikiongezeka kutoka Sh milioni 1,831,150,835 (2005) hadi Sh 12,244,968,443.

Alisema mavuno kutoka Ziwa Nyasa, yameongezeka kutoka tani 1108.78 zenye thamani ya Sh 704,590,213 mwaka 2005, hadi tani 6,709.12 zenye thamani ya Sh 5,439,239,792, mwaka 2012.


Acha utani basi,mi natokea Shinyanga,hivi mi haiingii akilini kuniambia pata la kiuchumi 5 bora hamna kanda ya ziwa,Mwanza jijini,Shinyanga Kahama mining,buzwagi,mwadui,Pamba,Mwanza Samaki noma,viwanda yote haya unamaanisha Per capita income hii mikoa iko chini? au kuna data wamesahau?
 
hayo ni maneno ya wanasiasa,mkoa wa Ruvuma uko nyuma sana kimaendeleo ni kama mikoa ya Lindi na Mtwara,pamoja na kuwa na barabara nzuri kwa muda mrefu pamoja na kilimo cha mahindi,tumbaku na maharage,kahawa kuna umasikini mkubwa huko vijinini na hata mijini,hao waandishi nafikiri ni loud speaker ya Mkuu wa mkoa,mkoa wa ruvuma kuna ufukara wa kutisha ,naamini hao waandishi wa habari hawajafika hata vijijini na kama wamefika basi huenda ni ie bahasha ya khaki imetembea
 
Mbali na mambo mengine lakini wangoni wanajituma
Embu vuta fikra mwanamke wa kule anajifungua asubuhi mchana anakwenda zake shamba na mtoto wake mchanga
iweje wasiendelee
ulongwili wichu dadi.:first::tea:
 
Mbali na mambo mengine lakini wangoni wanajituma
Embu vuta fikra mwanamke wa kule anajifungua asubuhi mchana anakwenda zake shamba na mtoto wake mchanga
iweje wasiendelee

acha uongo hakuna watu wavivu kama wangoni, wanaofanya kazi za kilimo huku ni wageni. Mimi nilikuwa na kazi ya kufyeka shamba na kulima watu hawafanyi kazi wanataka hela. Afu wengi wao wanaishi katika lindi la umaskini.
 
JUMATANO, JANUARI 09, 2013 06:49 NA ALPIUS MCHUCHA, RUVUMA

MKOA wa Ruvuma, umepata mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii katika kipindi cha miaka saba, kuanzia mwaka 2005 mpaka 2012. Kwa kutumia vigezo vya msingi, pato la kila mwananchi mkoani humo, limeongezeka kwa asilimia 31.9 imeelezwa.

Akitoa taarifa ya mkoa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika kipindi cha miaka saba kwa waandishi wa habari jana, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu, alisema ongezeko hilo limetokana na jitihada kubwa za pamoja za wananchi na Serikali katika kuleta maendeleo.

Alisema Mkoa wa Ruvuma, umekuwa wa sita kitaifa ukitanguliwa na Mkoa wa Dar es Salaam, Iringa, Arusha, Mbeya na Kilimanjaro.

Aliyataja mafanikio katika sekta ya kilimo kuwa, ni uzalishaji wa mazao ya chakula umeongezeka kutoka tani 652,291 (2005) hadi tani 1,322,128 (2012) na kufanya uhakika wa usalama wa chakula kuanzia ngazi ya kaya na afya za wananchi kuboreka.

Eneo la umwagiliaji, limeongezeka hekta 4,500 zilizomwagiliwa kwa miundombinu ya asili mwaka 2005, hadi hekta 17,655 mwaka 2012.

Alisema hali hiyo imeongeza uzalishaji wa mazao ya chakula kupitia umwagiliaji wa kisasa kutoka tani 84,096 mwaka 2005, hadi tani 294,018.

Alisema katika sekta ya ushirika, wanachama wake wameongezeka kutoka 22,762 (2005) hadi wanachama 56,047 (2012) na mitaji yake ikiongezeka kutoka Sh 1,781,656,736 (2005) hadi Sh milioni 7,607,213 (2012) na mikopo iliyotolewa ikiongezeka kutoka Sh milioni 1,831,150,835 (2005) hadi Sh 12,244,968,443.

Alisema mavuno kutoka Ziwa Nyasa, yameongezeka kutoka tani 1108.78 zenye thamani ya Sh 704,590,213 mwaka 2005, hadi tani 6,709.12 zenye thamani ya Sh 5,439,239,792, mwaka 2012.

WANGONI MUSIDANGANYIKE NA data hizi. Data hizi ni za umbea na za uwongo wa kitoto kabisaa. wanaoleta data hizi wanawaghiribu msidai haki zenu za kutafutiwa ajira. Mkoa wa ruvuma hauwezi kabisaa kuupita mkoa wowote wenye viwanda na madini kama shinyanga.

Kumbuka ni hawa hawa wanaoleta data hizi walipeleka karibia viwanda kumi na moja mkoani mbeya mwaka 1979 pamoja na kujenga benki kuu kule mbeya badala ya kugawa baadhi ya viwanda hivyo mkoani ruvuma, mtwara na Lindi ili visaidie ajira kwa vijana. kila kiwanda kilichokuwa kijengwe mtwara au ruvuma kilikuwa kinapelekwa mbeya tuu mpaka hata kiwanda cha zana za kilimo ! halafu juzi juzi waliloby kiwanda kikubwa kupita vyote africa mashariki na kati cha mbolea kilichokuwa kijengwe mtwara kihamishiwe mbeya!

Hizi ni sifa za mgongo wa chupa hatuzitaki. Tunataka viwanda ili watu wapate ajira na kuinua kipato chao. wangoni naomba muyatupilie mbali masifa haya ya kitoto ya kikomunisti.Kumbuka kitabu cha animal farm. Farsi kila kukicha kusifiwa kuwa najua kusaga na kulima huku nguruwe na mbweha wakila maini jikoni.
 
Kilimo ni zaidi ya madini.

unajua madini yalianza kuchibwa mwaka gani? unajua kilimo cha pamba kuwa kilikuwa maswa -shy unajua shinya wanalima bado na wana mifungo mingi sana..tatizo la wasukuma hama ni elimu ccm ilikuwa ikiwatumia na haikuona umhimu wa kuwajengea shule mbaya zaidi miundo mbinu ni mibovu hujapata kuona..wana mtwara komaeni msije mkawa kama wasukuma.
 
acha uongo hakuna watu wavivu kama wangoni, wanaofanya kazi za kilimo huku ni wageni. Mimi nilikuwa na kazi ya kufyeka shamba na kulima watu hawafanyi kazi wanataka hela. Afu wengi wao wanaishi katika lindi la umaskini.



Wangoni ninaowafahamu mimi wanajituma haswa toka kilimo hadi ufugaji samaki hao wangoni wavivu unawajua wewe
 
Tusubiri ya matokeo takwimu za sensa na makazi ya watu ,tulinganishe vigezo vingine tuone nani ni nani na kwa nini?!!
 
.....kumbi nate tivili....tilya lepi mpaka mbeyu........
 
Alete vigezo alivyotumia. Haitoshi kusema kuwa wastani wa pato la kila mtu limeongezeka kwa asilimia 31!! Mfumuko wa bei ukoje? wazalishaji hasa ni nani? pengine wakulima wafanyabiashara wachache!! Je huduma nyingine za msingi zimekuaje? sekta nyingine za kiuchumi zina hali gani?
 
Back
Top Bottom