BASIASI JF-Expert Member Joined Sep 20, 2010 Posts 9,732 Reaction score 5,006 Dec 10, 2011 #1 Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono
Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono
Crashwise JF-Expert Member Joined Oct 23, 2007 Posts 22,227 Reaction score 8,741 Dec 10, 2011 #2 BASIASI said: Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono Click to expand... naomba ufafanuzi hapo kwenye red
BASIASI said: Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono Click to expand... naomba ufafanuzi hapo kwenye red
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Joined Oct 1, 2011 Posts 2,918 Reaction score 1,234 Dec 10, 2011 #3 Wewe vipi? Una Dual citizenship nini? Mimi na wengine wengi tu hatujakutuma ututoleee tamko kuwatakia Rwanda Ushindi. Lol!
Wewe vipi? Una Dual citizenship nini? Mimi na wengine wengi tu hatujakutuma ututoleee tamko kuwatakia Rwanda Ushindi. Lol!
M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Dec 10, 2011 #4 BASIASI said: Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono Click to expand... Mkuu usiwachukulie poa Uganda.
BASIASI said: Timu ya taifa ya rwanda inatarajia kuchukua ubingwa wa cecafa muda mfupi ujao kwa niaba ya watanzania tunawatakia mchezo mwema na ushindimunono Click to expand... Mkuu usiwachukulie poa Uganda.
Songambele JF-Expert Member Joined Nov 20, 2007 Posts 4,710 Reaction score 2,587 Dec 10, 2011 #5 umeshatafuta pakujificha, mpira unachezwa uwanjani not otherwise. Mwamkie bingwa sasa