Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ujinga tulionao siku wagonjwa wakiwa 20 ndio watasema, kipindi hicho tayali ushafika mpaka uko bomba mbili yani mda huu inatakiwa watu wa mipakani wasitoke nje ya mikoa yao wala mtu kuingia, sehemu za mikusanyiko izuiliwe japo mwezi mmoja
Wamesikia mkopo wa world bank😁😁😁Kama ilivyo kwa Kenya, so does kwa Rwanda, tufunge mipaka kwa muda.
P
Hahahaaaaa.......... Bwashee umepima lakini?Informer hizi habari ni nyepesi Sana kwa mwandishi Kama wewe habari Kama hizi ulitakiwa kumwachia mwandishi wa viwango vya chini Kama johnthebaptist liccm