Rwanda: Diane Rwigara aondolewa kwenye kinyang’anyiro cha Urais

Kama a vekua mfuasi wa Kagame angeachwa agombee Hadi mwisho,ipangwe kashindwa halafu akubali matokeo.
Kwa kifupi nimegundua Kagame ni mtu muoga mno.
Mkuu siasaaaa mchezo mchafusanaaaa subiriyqjayoo chadema utanielewa
 
Wagombea anaowaacha kushindana naeni dizaini ya akina Dovutwa na Mzee wa ubwabwa
Kagame mwoga sana haamini kabisa kama anaweza akashinda kwa matakwa ya wananchi!!
Kama kweli anadai wananchi wanamkubali kwann anawafunga wapinzani wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…