Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,193
- 299
Hii si kweli. Rwanda hawajatupita. Wana nini sisi tusichonacho?
Kigali (New Times) Following the devastating earthquake which struck Haitian capital Port-au-Prince on Tuesday causing massive damage across the country, the Government of Rwanda has committed a donation of US$ 100,000 (Rwf 56m) to victims.
The magnitude 7.0 earthquake reported to be the strongest to have struck the country in 200 years, killed over 50,000 people and while as many are still missing; the death toll is expected to rise.
The International Red Cross estimates that three million people have been affected by the quake that caused major damage to Haitian landmarks such as the presidential palace, all hospitals and homes in the region
Haiti is the poorest country in the Western Hemisphere ranked at 149th of 182 countries on the Human Development Index.
The Food and Agriculture Organization (FAO) considers the country to be economically vulnerable and with little ability to cope with major disasters.
Several countries have responded to the appeal for international aid to Haiti, and after South Africa, Rwanda is among the first few African countries to give aid to the country.
My Take:
Read the other thread! Wanaobarikiwa hubariki na vivyo hivyo wao hubarikiwa zaidi! Kanuni ya kutoa bado inafanya kazi...
La hasha! Rwanda wametupita sana maana wana uongozi wa kueleweka.
Ila sina shaka kuwa akisikia Rwanda wametoa na yeye hata kama alikuwa hana wazo hilo atajaribu kujishaua.
- Rwanda wana raisi na wasaidizi walio na international exposure ambayo inawapa vision, na utendaji tofauti na wa serikali ya JK.
- Kikwete ana exposure ya kijiweni (JK). Raisi wetu ni 'Localised' kimawazo, kiuzoefu na hasa kiutendaji.
I wish we were slow.. manake tutafika huko.. I bet you kama ilichukua wiki tatu kwa Rais wa TZ kuliagiza JWTZ kusaidia wahanga wa Kilosa; sitoshangaa itachukua mwezi mzima kabla hawajaamua kusema lolote kuhusu Haiti. Did we even issue a statement of concern and offer some words of condolences?
I know.. tulikuwa bado tunafikiria jinsi gani tungeweza kuwafunga Ivory Coast..
I wish we were slow.. manake tutafika huko.. I bet you kama ilichukua wiki tatu kwa Rais wa TZ kuliagiza JWTZ kusaidia wahanga wa Kilosa; sitoshangaa itachukua mwezi mzima kabla hawajaamua kusema lolote kuhusu Haiti. Did we even issue a statement of concern and offer some words of condolences?
I know.. tulikuwa bado tunafikiria jinsi gani tungeweza kuwafunga Ivory Coast..
this is one of those times that you inspire 'hope' ... kesho kuna mtu ataambuka MA!
HIvi hawa Wanyarwanda wanafikiri wao ni kina nani hadi watoe msaada wakati taifa kubwa kama TZ halina uwezo wa kutoa msaada?
Mugabe pia aliwahi kutoa msaada kwa wahanga wa tufani huko New Orleans USA. Lakini washirika wetu wa maendeleo wakitoa misaada huwa tunasema kuna kitu wanapata ama wanavizia kitu fulani. Tujiulize, kwa kufanya hivyo Rwanda inapata nini?
Hatuna haja ya kushindana na Rwanda ktk kutoa misaada kwani hali ya kiuchumi na kisiasa ndani ya Rwanda si sawa na Tanzania.
La hasha! Rwanda wametupita sana maana wana uongozi wa kueleweka.Ila sina shaka kuwa akisikia Rwanda wametoa na yeye hata kama alikuwa hana wazo hilo atajaribu kujishaua.
- Rwanda wana raisi na wasaidizi walio na international exposure ambayo inawapa vision, na utendaji tofauti na wa serikali ya JK.
- Kikwete ana exposure ya kijiweni (JK). Raisi wetu ni 'Localised' kimawazo, kiuzoefu na hasa kiutendaji.
Hizi zote ni Kanuni za Mungu katika mutoaji. Sasa babu yangu sisi hata msaada wa mablanketi tunashindwa sasa haya ni matatizo makubwa sana na tena Haiti ni rangi moja na sisi. Hapa Mungu huwa anawabariki wale watoaji zaidi kuliko sisi tunategemea kupewa zaidi.I wish we were slow.. manake tutafika huko.. I bet you kama ilichukua wiki tatu kwa Rais wa TZ kuliagiza JWTZ kusaidia wahanga wa Kilosa; sitoshangaa itachukua mwezi mzima kabla hawajaamua kusema lolote kuhusu Haiti. Did we even issue a statement of concern and offer some words of condolences?
I know.. tulikuwa bado tunafikiria jinsi gani tungeweza kuwafunga Ivory Coast..
Kwani kusaidia kuna rangi?Hizi zote ni Kanuni za Mungu katika mutoaji. Sasa babu yangu sisi hata msaada wa mablanketi tunashindwa sasa haya ni matatizo makubwa sana na tena Haiti ni rangi moja na sisi. Hapa Mungu huwa anawabariki wale watoaji zaidi kuliko sisi tunategemea kupewa zaidi.
Kweli kutoa ni moyo wala si utajiri