Rwanda imeweza kutangaza Utalii kwenye klabu kubwa za Ulaya (Arsenal na Bayern). Tanzania inakwama wapi?

Rwanda imeweza kutangaza Utalii kwenye klabu kubwa za Ulaya (Arsenal na Bayern). Tanzania inakwama wapi?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Kama Rwanda yenye size ya Mkoa wa Mtwara inaweza kutangaza Utalii wake kwenye kwa kufunga mikataba ya Utalii na Klabu kubwa kama Arsenal na sasa Buyern Munich, hivi Tanzania inashindwa wapi?

Halafu unawasikia wale wanaojiita Viongozi wa Wizara eti wakisema Tanzania itafikisha watalii mil.5 mwaka 2025, watoke wapi? Je, tatizo ni kukosa akili,mikakati au vyote Kwa pamoja?

Hivi kwa Tanzania ni jambo gani ambako tunaliweza na tumelifanya kwa ufasaha?

----

Klabu ya Bayern Munich imetangaza kuingia mkataba wa miaka mitano wa kuendeleza soka na kukuza utalii wa taifa la Rwanda.

Ushirikiano huo uliozinduliwa katika mechi ya kwanza ya FC Bayern msimu huu, utashuhudia klabu hiyo ikifanya kazi mahususi na Wizara ya Michezo ya Rwanda kuanzisha chuo cha soka ili kuimarisha maendeleo ya soka.

Zaidi ya hayo, klabu hiyo itaonyesha chapa ya Visit Rwanda kwenye mbao za LED za siku ya mechi katika ukumbi wa Allianz Arena wenye uwezo wa kuchukua watu 75,000 na shughuli mbalimbali zitaandaliwa ili kukuza utalii na fursa za uwekezaji Rwanda.

Bayern inakuwa klabu ya pili kubwa kuingia mkataba wa kibiashara na Rwanda, Arsenal pia ni klabu yenye ushirikiano na taifa hilo.

Rwanda.png
 
wabongo hata hatuhitaji kutangaza kwenye timu, kwa kutumia youtubers au tiktokers tu tunaweza kufikia watu wengi sana, kama tukiamua. shida ni kuwa na mawazili mabushparty hawajaijua dunia kabisa, tanapa wangekuwa na kitengo cha mitandao kabisa kurusha clip za aina hiyo tungefika mbali sana.
 
Kwani Rwanda anayetangaza kwankutumia Arsenal anapata watalii wangapi kwa mwaka na Tanzania isiyotangaza inapata ngapi?

Fikiria faida unayoipata kwa kutumia USD 14 Milion (Tsh 30 Billion) kwa mwaka kwa kuwatajirisha Wazungu wakati watoto wa shule za msingi hawana matundu ya choo shuleni.

Kwa taarifa yako Dikteta Paul Kagame ni mnazi wa Arsenal, hakuna biashara yeyote pale

Screenshot_20230828_132225_Google.jpg
 
Kama Rwanda size ya Mkoa wa Mtwara inaweza Kutangaza Utalii wake kwenye Kwa kufunga mikataba ya Utalii na Klabu kubwa kama Arsenal na Sasa Buyern Munich,hivi Tanzania inashindwa wapi?

Harafu unawasikia Wale wanaojiita Viongozi wa Wizara eti wakisema Tanzania itafikisha Watalii mil.5 mwaka 2025,watoke wapi?

Je tatizo ni kukosa akili,mikakati au vyote Kwa pamoja?

Hivi Kwa Tanzania ni jambo gani ambako tunaliweza na tumelifanya Kwa ufasaha?

View: https://www.instagram.com/p/Cwe2zuxonrA/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Tunauza Bandari kwanza.
 
Kama Rwanda size ya Mkoa wa Mtwara inaweza Kutangaza Utalii wake kwenye Kwa kufunga mikataba ya Utalii na Klabu kubwa kama Arsenal na Sasa Buyern Munich,hivi Tanzania inashindwa wapi?

Harafu unawasikia Wale wanaojiita Viongozi wa Wizara eti wakisema Tanzania itafikisha Watalii mil.5 mwaka 2025,watoke wapi?

Je tatizo ni kukosa akili,mikakati au vyote Kwa pamoja?

Hivi Kwa Tanzania ni jambo gani ambako tunaliweza na tumelifanya Kwa ufasaha?

View: https://www.instagram.com/p/Cwe2zuxonrA/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Tanzania ilianza kutangaza Utalii mpaka Wembley, miaka ya Kikwete, hao walijifunza kupitia kwetu.


Sisi tuna mbinu zingine sasa hivi za kutangaza utalii, hapatoshi.


Cheza na mama Samia wewe?
 
Tanganyika ndio kupo nyuma balaa

Na mabei ya kitalii Tanzania ni makubwa sanaaaa.. sijui kwanini hili bado halipitiwi miaka na miaka..

Fedha zina kazi zingine hata huduma mbovu na stafu ni shida na yao

Bora wafunze watu kwanza jinsi ya kupokea ugeni na wizi waache

Halafu ndio watangaze
 
wabongo hata hatuhitaji kutangaza kwenye timu, kwa kutumia youtubers au tiktokers tu tunaweza kufikia watu wengi sana, kama tukiamua. shida ni kuwa na mawazili mabushparty hawajaijua dunia kabisa, tanapa wangekuwa na kitengo cha mitandao kabisa kurusha clip za aina hiyo tungefika mbali sana.
Mbona Sasa hamfanyi hivyo?
 
Tanzania ilianza kutangaza Utalii mpaka Wembley, miaka ya Kikwete, hao walijifunza kupitia kwetu.


Sisi tuna mbinu zingine sasa hivi za kutangaza utalii, hapatoshi.


Cheza na mama Samia wewe?

Yapi hayo napitwa mimi?

Kazi iendeleee......
 
Kwani Rwanda anayetangaza kwankutumia Arsenal anapata watalii wangapi kwa mwaka na Tanzania isiyotangaza inapata ngapi?

Fikiria faida unayoipata kwa kutumia USD 14 Milion (Tsh 30 Billion) kwa mwaka kwa kuwatajirisha Wazungu wakati watoto wa shule za msingi hawana matundu ya choo shuleni.

Kwa taarifa yako Dikteta Paul Kagame ni mnazi wa Arsenal, hakuna biashara yeyote paleView attachment 2731281
Rwanda anapata Watalii mil.1 Sasa Tanzania ni 1.45 ,huoni Rwanda ana faida kuliko Tanzania?

Ukiacha Watalii wametuoita Hadi kwenye MICE
 
kwahiyo tuseme kweli Rwanda kuna watalii wameenda kutokana na matangazo hayo? kwenda kuona nini? wanawake?
Wewe ni mjinga au akili huna? Tanzania waje kuona nini hasa ambacho hakipo kwingine? Umewahi sikia Tunisia Kuna Mbugha za Wanyama? Mnawazidi Utalii?
 
Tanzania ilianza kutangaza Utalii mpaka Wembley, miaka ya Kikwete, hao walijifunza kupitia kwetu.


Sisi tuna mbinu zingine sasa hivi za kutangaza utalii, hapatoshi.


Cheza na mama Samia wewe?
Wembly ya wapi?
 
Wewe ni mjinga au akili huna? Tanzania waje kuona nini hasa ambacho hakipo kwingine? Umewahi sikia Tunisia Kuna Mbugha za Wanyama? Mnawazidi Utalii?
Tunisia kuna majengo ya zamani enzi za urumi, Tanzania kuna safari tourism kubwa sana kama haujui nenda Arusha hata sasaivi utaona. pamoja na mengine yote sa100 alianza vyema sana kwenye utalii, sasa rwanda utaenda safari kweli, au hujui unachokiongea? kuona masokwe? si waje tu wakuone wewe hapa bongo kwasababu sidhani kama akili yako ni tofauti na ya sokwe kama huelewi hili.
 
Kama Rwanda size ya Mkoa wa Mtwara inaweza Kutangaza Utalii wake kwenye Kwa kufunga mikataba ya Utalii na Klabu kubwa kama Arsenal na Sasa Buyern Munich,hivi Tanzania inashindwa wapi?

Harafu unawasikia Wale wanaojiita Viongozi wa Wizara eti wakisema Tanzania itafikisha Watalii mil.5 mwaka 2025,watoke wapi?

Je tatizo ni kukosa akili,mikakati au vyote Kwa pamoja?

Hivi Kwa Tanzania ni jambo gani ambako tunaliweza na tumelifanya Kwa ufasaha?

View: https://www.instagram.com/p/Cwe2zuxonrA/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

DPWorld
 
Back
Top Bottom