The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Katika nchi za Afrika Mashariki, inaonesha kuwa ni Burundi na Tanzania pekee ndiyo hazina virusi vya korona na kwa hiyo hawahitaji chanjo ya COVID 19.
HOFU na WOGA ni roho za kuzimu na infact ndiyo lango kuu la nguvu za uharibifu na kifo....
IMANI kwa Mungu Baba Muumba wa vyote ndiyo UHAI na MAISHA ya binadamu yeyote...
Simuungi mkono wala kukubaliana na Rais wa Tanzania ndugu John Pombe Magufuli kwa karibu mambo mengine yote...
Lakini hili la IMANI YAKE juu ya gonjwa hili la kutengenezwa na mawakala wa SHETANI na KUZIMU na kuiambukiza kwa wananchi wake, naunga mkono na kukubaliana naye kwa 100%....
Huu ni mpambano wa kiroho. Rais Magufuli kachagua upande sahihi kabisa. Na ktk vita hii WANA WA MUNGU watashinda bila shaka...
Kwa hili nasimama na Rais wetu Magufuli. Namwombea kwa Mungu Baba ktk jina la Yesu Kristo wa Nazareth aindeleze imani hii na kamwe asiyumbe...
Si mapenzi ya Mungu watu waugue ugue magonjwa ya ajabu ajabu na kufa hovyo....
Kila mtu akiwa na imani kwa Mungu Baba muumba na kumtumaini yeye peke yake ktk mwana wake Yesu Kristo mwokozi wetu, shetani hana nguvu wala uwezo wa kufanya lolote...
Kwa IMANI hii aliyo nayo, natumaini na Mungu atambadilisha awe Rais mwema na mwenye utu katika nyanja zingine. Aache ukatili, ubinafsi, kiburi, kujikweza, wizi na ulevi wa madaraka na Mungu amsaidie kubadilika completely na kuwa na moyo wa TOBA....
HOFU na WOGA ni roho za kuzimu na infact ndiyo lango kuu la nguvu za uharibifu na kifo....
IMANI kwa Mungu Baba Muumba wa vyote ndiyo UHAI na MAISHA ya binadamu yeyote...
Simuungi mkono wala kukubaliana na Rais wa Tanzania ndugu John Pombe Magufuli kwa karibu mambo mengine yote...
Lakini hili la IMANI YAKE juu ya gonjwa hili la kutengenezwa na mawakala wa SHETANI na KUZIMU na kuiambukiza kwa wananchi wake, naunga mkono na kukubaliana naye kwa 100%....
Huu ni mpambano wa kiroho. Rais Magufuli kachagua upande sahihi kabisa. Na ktk vita hii WANA WA MUNGU watashinda bila shaka...
Kwa hili nasimama na Rais wetu Magufuli. Namwombea kwa Mungu Baba ktk jina la Yesu Kristo wa Nazareth aindeleze imani hii na kamwe asiyumbe...
Si mapenzi ya Mungu watu waugue ugue magonjwa ya ajabu ajabu na kufa hovyo....
Kila mtu akiwa na imani kwa Mungu Baba muumba na kumtumaini yeye peke yake ktk mwana wake Yesu Kristo mwokozi wetu, shetani hana nguvu wala uwezo wa kufanya lolote...
Kwa IMANI hii aliyo nayo, natumaini na Mungu atambadilisha awe Rais mwema na mwenye utu katika nyanja zingine. Aache ukatili, ubinafsi, kiburi, kujikweza, wizi na ulevi wa madaraka na Mungu amsaidie kubadilika completely na kuwa na moyo wa TOBA....