Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Rwanda imetangaza kulegeza masharti ya kupambana na kusambaa kwa maambukizi ya Virusi vya Korona. Zikiwa zimepita siku nne baada ya Rais Paul Kagame na Mkewe kupata chanjo
Agizo litatekelezwa kuanzia Machi 16, 2021. Watu hawatatakiwa kutembea kuanzia saa tatu usiku hadi saa kumi alfajiri na biashara zimetakiwa kuwa zimefungwa saa mbili usiku. Magari yataruhusiwa kuingia Kigali kutoka majimbo mengine
Watakao kuwa wana mikutano watatakiwa kutozidi 30% ya uwezo wa ukumbi wa mkutano. Kwa vikao vya watu kuanzia 20 watatakiwa kuwa kwanza wamepima na kuthibitisha kutokuwa na maambukizi
Wananchi wametakiwa kufuata Miongozo ya Afya kwa watakaokaidi watapewa adhabu.
Agizo litatekelezwa kuanzia Machi 16, 2021. Watu hawatatakiwa kutembea kuanzia saa tatu usiku hadi saa kumi alfajiri na biashara zimetakiwa kuwa zimefungwa saa mbili usiku. Magari yataruhusiwa kuingia Kigali kutoka majimbo mengine
Watakao kuwa wana mikutano watatakiwa kutozidi 30% ya uwezo wa ukumbi wa mkutano. Kwa vikao vya watu kuanzia 20 watatakiwa kuwa kwanza wamepima na kuthibitisha kutokuwa na maambukizi
Wananchi wametakiwa kufuata Miongozo ya Afya kwa watakaokaidi watapewa adhabu.