GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Aug 4, 2022 #21 inamankusweke said: Laki mbili na elfu arobaini!? Click to expand... Ndiyo idadi ya Upumbavu ulionao Ubongoni mwako au?
inamankusweke said: Laki mbili na elfu arobaini!? Click to expand... Ndiyo idadi ya Upumbavu ulionao Ubongoni mwako au?
bwii JF-Expert Member Joined May 24, 2014 Posts 1,429 Reaction score 2,669 Aug 4, 2022 #22 1Rwanda franc= Tshs 2.23
inamankusweke JF-Expert Member Joined Apr 24, 2014 Posts 20,344 Reaction score 21,967 Aug 4, 2022 #23 GENTAMYCINE said: Ndiyo idadi ya Upumbavu ulionao Ubongoni mwako au? Click to expand... Nyongeza itafikia ksh 11 elf na usher...kwa tzs ni laki 2,wakati tz huo ni mshahara wa mwaka 2000,kile kinchi fukara Sana,halafu kelele nyingi
GENTAMYCINE said: Ndiyo idadi ya Upumbavu ulionao Ubongoni mwako au? Click to expand... Nyongeza itafikia ksh 11 elf na usher...kwa tzs ni laki 2,wakati tz huo ni mshahara wa mwaka 2000,kile kinchi fukara Sana,halafu kelele nyingi
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Aug 4, 2022 #24 Mibas said: Mwalimu mwenye cheti Cha certificate Tanzania analipwa kiasi gani? Click to expand... Wafanyakazi wa Serikali mishahara yao yaanzia 370,000 Sasa hata awe Mwalimu Grade A, ataanza na huo au zaidi
Mibas said: Mwalimu mwenye cheti Cha certificate Tanzania analipwa kiasi gani? Click to expand... Wafanyakazi wa Serikali mishahara yao yaanzia 370,000 Sasa hata awe Mwalimu Grade A, ataanza na huo au zaidi
Barieda JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 1,808 Reaction score 2,470 Aug 4, 2022 #26 Pale unapojaribu kulinganisha idadi ya walimu msingi mkoa WA DSM (Rwanda) na walimu WA Tanzania nzima, rubbish.
Pale unapojaribu kulinganisha idadi ya walimu msingi mkoa WA DSM (Rwanda) na walimu WA Tanzania nzima, rubbish.
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Aug 8, 2022 #27 Bongo Nyoso Bongo balaa