Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Hali ya mambo ilivyo hapa Nchini Tanzania haina tofauti sana wakati Wanyarwanda wanaelekea kwenye mauaji ya Kimbari. wakati huo kwa kutumia vyombo vya habari ambavyo vilikuwa havikemewi na wenye mamlaka baadhi ya wahutu wenye misimamo mikali waliwahimiza watusi wenzao kuuu watutsi ambao wao waliwaita "mende" ambao kazi yao kubwa ni kueneza "ugonjwa' wa ubwana mkubwa.
Hapa Tanzania sasa hivi kuna mambo ya kutisha sana yaandikwa dhidi ya watu wengine kwenye vyombo vya habari ni kama vile kuchochea watu hao kuuawa na jamii. na CCM nayo imeanzisha kabila na dini yake mpya.
Ukiwa ni mwana-CCM huguswi na Sheria ilmradi unakichangia chama na kupeperusha bendera ya CCM kwenye biashara yako haramu.wana CCM walipiga watu mapanga Tarime, walikamatwa na shahada za kupigia kura zisizo zao huko Busanda na Biaharamulo lakini hakuna kilichowapata!
Na wimbo wa " wapinzani tuwalete tuwachanechane tuwatupe!!" unaendelea kurindima kwenye kampeni za CCM bila kukemewa na yeyote ndani ya CCM wala vyombo vya dola.
Itafikia wakati wasiokuwa kwenye dini na kabila la CCM wataletwa na kuchanwachanwa na kutupwa huku wenye CCM yao wakipiga makofi huku wakishangilia!!
Ni mtazamo TUU!!
Hapa Tanzania sasa hivi kuna mambo ya kutisha sana yaandikwa dhidi ya watu wengine kwenye vyombo vya habari ni kama vile kuchochea watu hao kuuawa na jamii. na CCM nayo imeanzisha kabila na dini yake mpya.
Ukiwa ni mwana-CCM huguswi na Sheria ilmradi unakichangia chama na kupeperusha bendera ya CCM kwenye biashara yako haramu.wana CCM walipiga watu mapanga Tarime, walikamatwa na shahada za kupigia kura zisizo zao huko Busanda na Biaharamulo lakini hakuna kilichowapata!
Na wimbo wa " wapinzani tuwalete tuwachanechane tuwatupe!!" unaendelea kurindima kwenye kampeni za CCM bila kukemewa na yeyote ndani ya CCM wala vyombo vya dola.
Itafikia wakati wasiokuwa kwenye dini na kabila la CCM wataletwa na kuchanwachanwa na kutupwa huku wenye CCM yao wakipiga makofi huku wakishangilia!!
Ni mtazamo TUU!!