Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Klabu ya Rayon Sports [emoji1206] imevunja Mkataba na Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo [emoji1078] Héritier Luvumbu Baada ya ishara aliyoionyesha akishangilia bao lake kwa kuweka mkono mdomoni na kidole kwenye kichwa wakati wa mechi ya kuwania ubingwa kati ya Rayon Sports na Police FC Februari 11,
Huku ishara hii ikitazamiwa kama Utovu wa nidhamu.
Huku ishara hii ikitazamiwa kama Utovu wa nidhamu.