Rwanda tulijazana coaster 7, South imekuwaje?

Rwanda tulijazana coaster 7, South imekuwaje?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nilikuwa naangalia hapa idadi ya walioenda s.africa pamoja na tkt 48 Bure najiuliza hii NDEGE mbona ilihitaji watu wengi tu


Nikikumbuka vibe la Rwanda coaster 7 najiuliza nn kimewasibu Hawa wah kujazq NDEGE kwenda south africa
 
Nilikuwa naangalia hapa idadi ya walioenda s.africa pamoja na tkt 48 Bure najiuliza hii NDEGE mbona ilihitaji watu wengi tu


Nikikumbuka vibe la Rwanda coaster 7 najiuliza nn kimewasibu Hawa wah kujazq NDEGE kwenda south africa
We na wewe uwe unaficha ujinga wako kidogo ata Kama rage aliwalaani sio kwa namna hii
 
Hivi huwa mnatumia Makalio kufikiria au?? Unafananisha Tz-Rwanda na Tz-South Afrika...?? Mbona hauhoji kwanini Simba walienda mabasi mawili Zambia lakini Egypt hawajapeleka hata moja.?? Upuuzi mtupu HUNA AKILI
Hii ishu ya umbali wakati simba anaenda zambia na Yanga anaenda Rwanda wanayanga mliikomaa Sana humu kwamba umbali siyo sababu .
Mlifungua nyuzi nyingi humu za kuiponda simba kwamba Mashabiki wake hawana pesa , hawana mapenzi kwa timu yao na niwa wachache.

Leo mnakuja na utetezi wa umbali .
Luc Eymael na Haji Manara hawakusea kuwaita hamnazo .
 
Nilikuwa naangalia hapa idadi ya walioenda s.africa pamoja na tkt 48 Bure najiuliza hii NDEGE mbona ilihitaji watu wengi tu


Nikikumbuka vibe la Rwanda coaster 7 najiuliza nn kimewasibu Hawa wah kujazq NDEGE kwenda south africa
Mkuu Rwanda ni East Africa unaingia na paspoti ya karatasi. Sauzi lazima uwe na gamba.
 
Hii ishu ya umbali wakati simba anaenda zambia na Yanga anaenda Rwanda wanayanga mliikomaa Sana humu kwamba umbali siyo sababu .
Mlifungua nyuzi nyingi humu za kuiponda simba kwamba Mashabiki wake hawana pesa , hawana mapenzi kwa timu yao na niwa wachache.

Leo mnakuja na utetezi wa umbali .
Luc Eymael na Haji Manara hawakusea kuwaita hamnazo .
Dah! hivi kwanini mbumbumbu hua hamna akili kiasi hiki
 
Nilikuwa naangalia hapa idadi ya walioenda s.africa pamoja na tkt 48 Bure najiuliza hii NDEGE mbona ilihitaji watu wengi tu


Nikikumbuka vibe la Rwanda coaster 7 najiuliza nn kimewasibu Hawa wah kujazq NDEGE kwenda south africa
Nauli ni lakh 6
 
Nilikuwa naangalia hapa idadi ya walioenda s.africa pamoja na tkt 48 Bure najiuliza hii NDEGE mbona ilihitaji watu wengi tu


Nikikumbuka vibe la Rwanda coaster 7 najiuliza nn kimewasibu Hawa wah kujazq NDEGE kwenda south africa
Uwezo wako wa kufikiri umekomea hapa, pole
 
Back
Top Bottom