Rwanda: Tutaendelea kutoa chanjo ya Astrazeneca, haina madhara

Rwanda: Tutaendelea kutoa chanjo ya Astrazeneca, haina madhara

BRAIN BOX

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2021
Posts
387
Reaction score
317
Serikali ya Rwanda imesema haitasitisha mpango wa kutoa chanjo ya Astrazeneca.

Afisa mkuu wa mamlaka ya afya Dkt. Sabin Nsabimana amewaambia waandishi wa habari kuwa chanjo ya Astrazeneca haina madhara.

Tangu wiki mbili zilizopita Rwanda imetoa chanjo kwa watu wapatao 257,000, ambapo theluthi walipewa chanjo ya Astrazeneca na wengine Pfizer.

Rwanda inatarajiwa kupokea chanjo ya corona 1,098,960 haina ya Astrazeneca/Oxford na Pfizer/Biontech zitatolewa kwa awamu ya kwanza na ya pili mwaka 2021.

Chanzo: BBC SWAHILI.
 
paka kisha chanjwa lazima awalazimishe raia ili apate wakufa nao wa kupuliza je na wewe kenge naamini umechanjwa si eti?
 
Serikali ya Rwanda imesema haitasitisha mpango wa kutoa chanjo ya Astrazeneca.

Afisa mkuu wa mamlaka ya afya Dkt. Sabin Nsabimana amewaambia waandishi wa habari kuwa chanjo ya Astrazeneca haina madhara.

Tangu wiki mbili zilizopita Rwanda imetoa chanjo kwa watu wapatao 257,000, ambapo theluthi walipewa chanjo ya Astrazeneca na wengine Pfizer.

Rwanda inatarajiwa kupokea chanjo ya corona 1,098,960 haina ya Astrazeneca/Oxford na Pfizer/Biontech zitatolewa kwa awamu ya kwanza na ya pili mwaka 2021.

Chanzo: BBC SWAHILI.

Safi sana kagame ,chanjo ya astrazeneca imeshaotelewa kwa zaidi ya watu 15 milioni ,waliopata blood clot kati ya hao waliochanjwa ni 40 tu na uchunguzi unaendelea kuangalia kama ilishababishwa na hiyo chanjo.
 
Safi sana kagame ,chanjo ya astrazeneca imeshaotelewa kwa zaidi ya watu 15 milioni ,waliopata blood clot kati ya hao waliochanjwa ni 40 tu na uchunguzi unaendelea kuangalia kama ilishababishwa na hiyo chanjo.
Hiyo idadi inaongezeka tu mara 17 mara 40.
 
Hiyo idadi inaongezeka tu mara 17 mara 40.
Mkuu hata wakisitisha chanjo ya astrazeneca bado case za blood clots zitaongezeka tu hata kwa wasiopata chanjo.....Sasa 40 cases kati ya 15milions hapo utapata percentages ngapi? Effectiveness = 99.99973333333333% ukiround up unapata 100%...Kwahiyo hizo cases 40 ni negligible ndio maana WHO wakasema watu waendelee kupata chanjo mpaka uchunguzi utakapokamilika.
 
Mkuu hata wakisitisha chanjo ya astrazeneca bado case za blood clots zitaongezeka tu hata kwa wasiopata chanjo.....Sasa 40 cases kati ya 15milions hapo utapata percentages ngapi? Effectiveness = 99.99973333333333% ukiround up unapata 100%...Kwahiyo hizo cases 40 ni negligible ndio maana WHO wakasema watu waendelee kupata chanjo mpaka uchunguzi utakapokamilika.
Hapo ni kujiongeza tu,ndio maana nchi zengine wakaona ngoja tusitishe kwanza wao wameamua hivyo.
 
Mkuu hata wakisitisha chanjo ya astrazeneca bado case za blood clots zitaongezeka tu hata kwa wasiopata chanjo.....Sasa 40 cases kati ya 15milions hapo utapata percentages ngapi? Effectiveness = 99.99973333333333% ukiround up unapata 100%...Kwahiyo hizo cases 40 ni negligible ndio maana WHO wakasema watu waendelee kupata chanjo mpaka uchunguzi utakapokamilika.
Sio kweli mkuu.ingekua kwa idadi hiyo ya 40 victims wa hiyo chanjo,Basi isingepigiwa kelele kiasi hicho.kuna nchi zaidi ya 12 mpaka Sasa ambazo zilipokea chanjo hiyo,zimesitisha kutumia.
 
Sio kweli mkuu.ingekua kwa idadi hiyo ya 40 victims wa hiyo chanjo,Basi isingepigiwa kelele kiasi hicho.kuna nchi zaidi ya 12 mpaka Sasa ambazo zilipokea chanjo hiyo,zimesitisha kutumia.
Uongo hupingwa kwa ukweli,
Leta ukweli unaoujua wewe tukusome.
 
Sio kweli mkuu.ingekua kwa idadi hiyo ya 40 victims wa hiyo chanjo,Basi isingepigiwa kelele kiasi hicho.kuna nchi zaidi ya 12 mpaka Sasa ambazo zilipokea chanjo hiyo,zimesitisha kutumia.

No research no right to speak, no investigation, no right to judge!
 
Back
Top Bottom