Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Rwanda inapokea awamu ya kwanza ya chanjo ya Covid 19 yenye dozi zipatazo 240,000 za Astra Zenneca kutokea za Oxford. Dozi hizo zinatarajiwa kufika nchini humo siku ya jumatano asubuhi.
Aidha, awamu ya pili ya ya upokeaji wa chanjo hizo inatarajiwa kuwa na jumla ya dozi 171,480.
Aidha, awamu ya pili ya ya upokeaji wa chanjo hizo inatarajiwa kuwa na jumla ya dozi 171,480.