#COVID19 Rwanda wapokea chanjo ya Covid-19 kupitia Covax

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Rwanda inapokea awamu ya kwanza ya chanjo ya Covid 19 yenye dozi zipatazo 240,000 za Astra Zenneca kutokea za Oxford. Dozi hizo zinatarajiwa kufika nchini humo siku ya jumatano asubuhi.

Aidha, awamu ya pili ya ya upokeaji wa chanjo hizo inatarajiwa kuwa na jumla ya dozi 171,480.


 
Wakati huohuo Rais mataputapu anang'aa macho tu kama pimbi!
 
Kuna watu nidhamu Zenu ndogo sana. Sijui mnaishije huko mliko
 
Usambazaji wa chanjo kwenye hospitali za mikoa hapo.
 

Attachments

  • 20210304_184556.png
    198.8 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184430.jpg
    34.4 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184313.jpg
    42 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184234.jpg
    50.3 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184032.jpg
    33.6 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184243.jpg
    37.6 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184216.jpg
    61.7 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184219.jpg
    31.1 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184009.jpg
    37 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184006.jpg
    54.4 KB · Views: 1
  • IMG_20210304_184012.jpg
    44.2 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184024.jpg
    43.5 KB · Views: 1
  • IMG_20210304_184201.jpg
    134.8 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184238.jpg
    78.8 KB · Views: 1
  • IMG_20210304_184343.jpg
    70.9 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184336.jpg
    36 KB · Views: 2
  • IMG_20210304_184414.jpg
    101.4 KB · Views: 2
Kilala kheri kwao,tunawatakia majaribio mema.sisi bado tupotupo kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…