Rwanda: Wasichana sita na Mwanamume mmoja wakamatwa kwa tuhuma za kuchapisha video za utupu Mitandaoni

Rwanda: Wasichana sita na Mwanamume mmoja wakamatwa kwa tuhuma za kuchapisha video za utupu Mitandaoni

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Nchini Rwanda, wasichana sita na mwanaume mmoja wamekamatwa na Kitengo cha kuchunguza uhalifu - RIB kwa tuhuma za kuchapisha video za utupu mitandaoni.

Video ya mrembo mmoja anayeitwa Kwizera Emelyne ilisambaa mitandaoni akionekana akifanya vitendo vya ngono, vinavyochukuliwa kama utovu mkubwa wa maadili. Kwizera ni kiongozi wa kundi linalojiita "Rich Gang" kwenye mtandao wa WhatsApp linalohusishwa na vitendo hivyo.

Msemaji wa RIB Dr Murangira Thierry amesema vijana hao wa kati ya miaka 20 hadi 28 wanachunguzwa kwa kurekodi na kuchapisha video wakifanya vitendo hivyo na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii.

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameingilia kati na kuonya dhidi ya alichokiita, taifa kwenda mrama huku jamii ikitazama tu.
 
Hii habari ni tetesi na uzushi.
Wekelea hizo walirekodi. La sivyo uzi ufutwe
 
Nchini Rwanda, wasichana sita na mwanaume mmoja wamekamatwa na Kitengo cha kuchunguza uhalifu - RIB kwa tuhuma za kuchapisha video za utupu mitandaoni.

Video ya mrembo mmoja anayeitwa Kwizera Emelyne ilisambaa mitandaoni akionekana akifanya vitendo vya ngono, vinavyochukuliwa kama utovu mkubwa wa maadili. Kwizera ni kiongozi wa kundi linalojiita "Rich Gang" kwenye mtandao wa WhatsApp linalohusishwa na vitendo hivyo.

Msemaji wa RIB Dr Murangira Thierry amesema vijana hao wa kati ya miaka 20 hadi 28 wanachunguzwa kwa kurekodi na kuchapisha video wakifanya vitendo hivyo na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii.

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameingilia kati na kuonya dhidi ya alichokiita, taifa kwenda mrama huku jamii ikitazama tu.
watavuna walichopanda
 
Nchini Rwanda, wasichana sita na mwanaume mmoja wamekamatwa na Kitengo cha kuchunguza uhalifu - RIB kwa tuhuma za kuchapisha video za utupu mitandaoni.

Video ya mrembo mmoja anayeitwa Kwizera Emelyne ilisambaa mitandaoni akionekana akifanya vitendo vya ngono, vinavyochukuliwa kama utovu mkubwa wa maadili. Kwizera ni kiongozi wa kundi linalojiita "Rich Gang" kwenye mtandao wa WhatsApp linalohusishwa na vitendo hivyo.

Msemaji wa RIB Dr Murangira Thierry amesema vijana hao wa kati ya miaka 20 hadi 28 wanachunguzwa kwa kurekodi na kuchapisha video wakifanya vitendo hivyo na kuzisambaza kwenye mitandao ya kijamii.

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameingilia kati na kuonya dhidi ya alichokiita, taifa kwenda mrama huku jamii ikitazama tu.
Huyu Rais buana kuna namna ananifurahishaga sana.
 
Where is the honor?
Where is the picture???

Useless post bila pichaa 🗑️
 
Jamani hakuna kitu kibaya kama ignorance huyo binti kuna kipindi pia picha zake ziligaa mitandaoni kwa mambo hayo hayo ya kijinga na ni mzuri balaa sema ndio hivo balloon head 😂
 
Back
Top Bottom