Rwanda ya 1994 sio Rwanda ya leo.

Rwanda ya 1994 sio Rwanda ya leo.

Nelibaba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2023
Posts
290
Reaction score
386
Wanyarwanda wana Kila sababu ya kujivuna Kwa maendeleo na amani walionayo leo. Ni kanchi kadogo kalikopitia machungu ya mauaji ya wenyewe Kwa wenyewe ila leo kamesimama imara.
 
Ukitaka utamu e ngoma ingia ucheze!!!




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Rwanda ni jehanamu ya Afrika..roho za waAfrika zinaangamia mataifa mbalimbali KISA serikali ya kifashisti iliyoko Kigali.
 
Rwanda ni nchi ndogo sana maendeleo lazima yaende kwa kasi sana. Nashangaa zanzibar sijui wanafeli wapi na bajeti wanapewa yakutosha tu.
 
Rwanda ni nchi ndogo sana maendeleo lazima yaende kwa kasi sana. Nashangaa zanzibar sijui wanafeli wapi na bajeti wanapewa yakutosha tu.
Sisi hapa tulipaswa kuifanya zanzibar ya mfano na hilo linawezekana ila wanzazibari gumu sana na lawama kama zotee hadi tunaamua kuwasusa tu..
 
Rwanda mnaiona mkiwa mijini ingieni vijijini ndani muijue vizuri Rwanda alafu mrudi hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom