Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Rwanda imetangaza kusitisha ushirikiano wa kiuchumi na Ubelgiji kutokana na kuituhumu nchi hiyo kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kuendesha kampeni ya kuihujumu kupata mikopo na misaada katika taasisi za kimataifa.
Ubelgiji nayo kwa upande wake imejibu mapigo kwa kueleza inafanya tathmini ya uhusiano wake na Rwanda.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Na sisi Tanzania tuiwekee vikwazo USA kwakukatisha ARVs
NB: bado Rwanda iinawndelea kutufundisha Kwamba hata hizi big power tunaweza kuzi sanction
Ubelgiji nayo kwa upande wake imejibu mapigo kwa kueleza inafanya tathmini ya uhusiano wake na Rwanda.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Na sisi Tanzania tuiwekee vikwazo USA kwakukatisha ARVs
NB: bado Rwanda iinawndelea kutufundisha Kwamba hata hizi big power tunaweza kuzi sanction