Anapokea zaidi ya Dollars trillion kadhaa kwa ujumla kutoka EU, UK, Germany & USA unamwambia nini ndio maana abavimba kichwaHatoboi nusu mwaka
Ujue kashajipima mkuuHatoboi nusu mwaka
Hili ndo linalonoshangaza mkuu[emoji23]Kwa mawazo yako unazan rwanda yupo mwenyewe ??
Ngoja tuone mwisho wakeAnaweza kupambana Na Mabeberi
Unaweza Kuta Rwanda ni litemboIla mbu bwana! [emoji38][emoji23][emoji1787]
Inawezekana, ujue mambo ni mengi sana kuweza kuyaelewa yote.
Mbu au chawa ndugu?Ila mbu bwana! 😆😂🤣
Wamemfika hapaaa maana sio kwa kuzunguka huku na huko eti wasitishe ushirikiano hadi Asernal wakawalima blockUjue kashajipima mkuu
Huwezi kimvimbia Mzee ....home bila kuwa na alternative ya kupata msosi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwahiyo Ubeleji ndio yupo mwenyewe?Kwa mawazo yako unazan rwanda yupo mwenyewe ??
Kagame anajikubali sana[emoji23]Wamemfika hapaaa maana sio kwa kuzunguka huku na huko eti wasitishe ushirikiano hadi Asernal wakawalima block
Jamaa anajikubali sanaInawezekana, ujue mambo ni mengi sana kuweza kuyaelewa yote.
Unaelewa thamani ya dola trillion mkuu?Anapokea zaidi ya Dollars trillion kadhaa kwa ujumla kutoka EU, UK, Germany & USA unamwambia nini ndio maana abavimba kichwa