MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Serikali ya #Rwanda imehalalisha kilimo cha Bangi ili kuuza nje ya nchi, matumizi ya kujifurahisha au kujitibu bado yanahesabiwa kuwa haramu kisheria
Rwanda inatarajia kukuza mapato ya kusafirisha bidhaa nje na kufaidika na soko la bangi la dunia ambalo lina thamani ya dola bilioni 345 sawa na Tsh Trilioni 800
Waziri wa Afya wa Rwanda, Dkt. Daniel Ngamije amesema wao wanataka faida kibiashara lakini matumizi ya zao hilo ndani ya nchi yao hayakubaliki
Hivyo amesema kuruhusu zao hilo kibiashara hakuathiri sheria zao dhidi ya dawa za kulevya
=====
Rwanda has approved the cultivation and export of cannabis even as the use of the stimulant for medical or recreational purposes remains illegal in the country.
The government is targeting to grow its export earnings from the global cannabis market valued at the $345 billion according to analysts New Frontier Data.
The decision has caused confusion with some warning it could be detrimental to the youth if tough controls are not enforced.
Rwanda’s Minister of Health Dr Daniel Ngamije said that despite the government’s intention to profit from the production and export of marijuana, its use in the country is prohibited.
“This will not give an excuse for drug abusers and dealers. The law against narcotics is available and it will continue to be enforced,” Dr Ngamije said on state-run television Rwanda Broadcasting Agency on Tuesday.
A Cabinet meeting, chaired by President Paul Kagame, on Monday approved regulatory guidelines on cultivation, processing, and export of “high-value therapeutic crops”.
Rwanda approves cannabis production for export
Rwanda inatarajia kukuza mapato ya kusafirisha bidhaa nje na kufaidika na soko la bangi la dunia ambalo lina thamani ya dola bilioni 345 sawa na Tsh Trilioni 800
Waziri wa Afya wa Rwanda, Dkt. Daniel Ngamije amesema wao wanataka faida kibiashara lakini matumizi ya zao hilo ndani ya nchi yao hayakubaliki
Hivyo amesema kuruhusu zao hilo kibiashara hakuathiri sheria zao dhidi ya dawa za kulevya
=====
Rwanda has approved the cultivation and export of cannabis even as the use of the stimulant for medical or recreational purposes remains illegal in the country.
The government is targeting to grow its export earnings from the global cannabis market valued at the $345 billion according to analysts New Frontier Data.
The decision has caused confusion with some warning it could be detrimental to the youth if tough controls are not enforced.
Rwanda’s Minister of Health Dr Daniel Ngamije said that despite the government’s intention to profit from the production and export of marijuana, its use in the country is prohibited.
“This will not give an excuse for drug abusers and dealers. The law against narcotics is available and it will continue to be enforced,” Dr Ngamije said on state-run television Rwanda Broadcasting Agency on Tuesday.
A Cabinet meeting, chaired by President Paul Kagame, on Monday approved regulatory guidelines on cultivation, processing, and export of “high-value therapeutic crops”.
Rwanda approves cannabis production for export