ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Labda baada ya miaka 50 ijayo ,by the way watazalishia lami nkHayo mafuta yatakua na kazi gani ikiwa tunaenda kutumia umeme na gesi asilia?
Are you serious 😐 ulaya yenyewe bado haijatoka huko ktk kutegemea mafutaHayo mafuta yatakua na kazi gani ikiwa tunaenda kutumia umeme na gesi asilia?
Tuendelee tu na kuichezea sekta ya elimu na usalama Kwa kuwajaza mambumbumbu madhara yake tutayaona ASAP.Rwanda imedai Kugundua Mafuta kwenye bonde la Ziwa Kivu.
View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/1879804070409732449?t=0tHfcniqFTurH5qTGiJpqw&s=19
My Take
Rwanda Yenye Uchumi Mkubwa itakuwa Tishio zaidi Kwa usalama wa Maziwa Makuu.
View: https://x.com/VOASwahili/status/1879728173145006098?t=OfR3jK6MSbBq9FUvxaeL0Q&s=19
Dhahabu nyeusi hiyo.....Rwanda imedai Kugundua Mafuta kwenye bonde la Ziwa Kivu.
View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/1879804070409732449?t=0tHfcniqFTurH5qTGiJpqw&s=19
My Take
Rwanda Yenye Uchumi Mkubwa itakuwa Tishio zaidi Kwa usalama wa Maziwa Makuu.
View: https://x.com/VOASwahili/status/1879728173145006098?t=OfR3jK6MSbBq9FUvxaeL0Q&s=19
Wamechelewa! Mafuta sio deal leo na kesho. Juhudi kubwa zinafanyika za kuachana na matumizi ya Mafuta, na zinaendelea vizuri sana.My Take
Rwanda Yenye Uchumi Mkubwa itakuwa Tishio zaidi Kwa usalama wa Maziwa Makuu.
Mafuta hayajawahi kuwa Deal sana kwa nchi husika zaidi ya Makampuni Husika yanayoform Cartels (Seven Sisters) ingawa sio hapa hata ukipewa makombo yanaongezea kwenye furushi....Wamechelewa! Mafuta sio deal leo na kesho. Juhudi kubwa zinafanyika za kuachana na matumizi ya Mafuta, na zinaendelea vizuri sana.
Unashangaa kwanini hatufanyi Tafiti wa kitu ambacho huenda unaweza ukasema kinahitaji uwekezaji, wakati kuna kitu ambacho tunacho (UMEME) na bado watu wananunua LPG kutoka nje ili kupikia na Watunga Sera wanahangaika kumpa Mpikaji Kijijini Mitungi ya Bure ili awe Teja wa kununua kitu ambacho kina gharama zaidi ?KENYA,UGANDA wameweza kutafiti na kutangaza.Sisi tuna nini?,kwa nini wao?Tulianza siku nyingi utafiti wa mafuta,lakini tupo kimya!Tanzania Tunaogopa nini?
Matumizi ya mafuta hayataisha kamwe. Sema bei itapungua tu. Bado mafuta ndiko plastics zote zinakopatikana. Mitambo ya viwanda bado itatumia greese, heavy fuel n.k. bado lami kwenye ujenzi wa barabara. Hata huo umeme utazalishwa na mafuta ndiyo mchaji magari yenu kisanii mkijidai kulinda mazingiraHayo mafuta yatakua na kazi gani ikiwa tunaenda kutumia umeme na gesi asilia?
Kwa sasa gas ni potential sana kwenye maeneo mengi kuliko mafuta,ni revolution inayofanyika taratibu itafikia stage gas itahitajika zaidi kuliko mafuta ikisaidiwa na umemeAre you serious 😐 ulaya yenyewe bado haijatoka huko ktk kutegemea mafuta
Nakubaliana na wewe ila sio leoKwa sasa gas ni potential sana kwenye maeneo mengi kuliko mafuta,ni revolution inayofanyika taratibu itafikia stage gas itahitajika zaidi kuliko mafuta ikisaidiwa na umeme