Unatukana mtu Kwa Jambo lisilokuhusu. Unajifanya una huruma na wakongo, ila watanzania wenzako waliopotea mpaka Leo mnawafanyia dhihaka Kama hayawahusu. Punguza unafikikwann usihamie huko!!
unajua ni wakongo wa ngap wamekufa?? u son of bitch
Wewe wasemablood gems
Huyo anayeibiwa ni nani? Na yupo wapi kujilinda?. Tuongee vitu kwa ushahidiAkasema kuwa akizuia wale wanaomsema kuwa anaiba Congo ndo watazidisha kumwbia anaiba Kongo.
Nikasema huyu jamaa mshenzi sana. Yeye ndo mwizi. Anacheza na watu wasiokuwa na akili. Wenye akili timamu wanamuelwa vizuri tu. Sema siku zake bado
Vita yake na DRC haiwezi isha 🐒Rwanda imeingiza kiasi cha dola Bilioni 1.1 katika mapato ya mauzo ya Madini mbali mbali kwa mwaka wa 2023.
Hiyo ni ongezeko ya asilimia 43 ya mauzo ya mwaka wa 2022 baada ya kupata dola milioni 772 kutokana na mauzo ya nje ya madini.
Hii ni mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo ambayo haina madini ya dhahabu.
c & p, #kitenge.
View attachment 2905549
Kutwa wanakanusha kama hawahusiki na wale jamaa wa kule RDCNo prize for guessing where those gems come from.
Mkuu Tanzania tuna watawala siyo viongozi na kama ni viongozi wanaongoza kwenye rushwa ufisadi uwongo nk.Kagame anaipenda nchi inaifanya kama familia yupo radhi aibe watoto wale chakula. Viongozi wa Tanzania wanaipenda nchi kama shamba,wapo radhi wavune waende kuuza sokoni
Kama hauna akili watu watakutumia kama fursa na si dhambiProduce of land of Rwanda.
Pengine kuna ya Tanzania yamejumuishwa humo, a man has a larger network!
Tanzania ipi?Deep down in their tribal thinking mind wanajua hapa East and Central Africa hakuna kama Tanzania.
Mzigo wa Congo na TZ uoRwanda imeingiza kiasi cha dola Bilioni 1.1 katika mapato ya mauzo ya Madini mbali mbali kwa mwaka wa 2023.
Hiyo ni ongezeko ya asilimia 43 ya mauzo ya mwaka wa 2022 baada ya kupata dola milioni 772 kutokana na mauzo ya nje ya madini.
Hii ni mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo ambayo haina madini ya dhahabu.
c & p, #kitenge.
View attachment 2905549
Yaani JWTZ ikawapige m23?JWTZ wafanye haraka kuwaondoa M23 DRC, wafanye haraka sana, wanaumiza wenzao...
Nimeona hapo juu mdau kapost Biteko akisema dola milioni elfu tatu na ushee ambazo ni kama bilioni 3 na kitu..Sisi secta ya madin imeuza kwa dollor billion ngapi mwaka huu kama hatujafika bilion alafu rwanda anauza billion basi hatupo serious..
HakikaMkuu Tanzania tuna watawala siyo viongozi na kama ni viongozi wanaongoza kwenye rushwa ufisadi uwongo nk.
Wapo tayari kuanzisha makampuni kama Richmond ili watuibie vizuri
Wakati P. Kagame akipigania Rwanda wao wanapigania matumbo yao.
Bado hiyo reputation haijafutika. Ngoja sons of the land tutachukua tena nchi na kuirudisha pale juuTanzania ipi?
Tanzania yenye kuheshimika Duniani iliondoka na Nyerere.
Huyo anayeibiwa ni nani? Na yupo wapi kujilinda?. Tuongee vitu kwa ushahidihay
Acha unafiki kujifanya una hasira na Kagame, wakati watu wanaiba hapa kila siku kwenye ripoti ya CAG mmekaa kimya. Anzeni kupiga kelele wizi wa ndani .