Rwanda yavunja rekodi uuzaji Madini nje!

kwann usihamie huko!!

unajua ni wakongo wa ngap wamekufa?? u son of bitch
Unatukana mtu Kwa Jambo lisilokuhusu. Unajifanya una huruma na wakongo, ila watanzania wenzako waliopotea mpaka Leo mnawafanyia dhihaka Kama hayawahusu. Punguza unafiki
 
Akasema kuwa akizuia wale wanaomsema kuwa anaiba Congo ndo watazidisha kumwbia anaiba Kongo.

Nikasema huyu jamaa mshenzi sana. Yeye ndo mwizi. Anacheza na watu wasiokuwa na akili. Wenye akili timamu wanamuelwa vizuri tu. Sema siku zake bado
Huyo anayeibiwa ni nani? Na yupo wapi kujilinda?. Tuongee vitu kwa ushahidi
 
Kuna wakati nayo Kenya iliuza tanzanite nyingi nje, ni maujanja ya Kenya, nayo Rwanda ni maujanja, madini ni ya DRC.
 
Big up sana PK.
PK ni icon ya uzalendo duniani kote.
Jamaa anaipenda sana nchi yake.
Wanyarwanda kama wana akili, wangempa nchi atawale hadi atakapokufa. Tena akifa, wasitangaze kafa hata kwa miaka 3 (waseme anaumwa, yuko nje kwa matibabu).
watu kama kina PK, hupatikana kwa nadra sana!
Ni vito vya thamani sana ambavyo inabidi vitunzwe kwa uangalifu mkubwa sana.
 
Vita yake na DRC haiwezi isha 🐒

R I P laigwanani comrade ENL
 
Kagame anaipenda nchi inaifanya kama familia yupo radhi aibe watoto wale chakula. Viongozi wa Tanzania wanaipenda nchi kama shamba,wapo radhi wavune waende kuuza sokoni
Mkuu Tanzania tuna watawala siyo viongozi na kama ni viongozi wanaongoza kwenye rushwa ufisadi uwongo nk.
Wapo tayari kuanzisha makampuni kama Richmond ili watuibie vizuri
Wakati P. Kagame akipigania Rwanda wao wanapigania matumbo yao.
 
Mzigo wa Congo na TZ uo
 
Hii ishu ya kagame na DRC nilikuja kuielewa vizuri sana nini kinafanyika, ni baada ya kutazama lile tambala la Leonardo Di Caprio ile ya Blood Diamond (Setting-: Sierra Leone).
 
Sisi secta ya madin imeuza kwa dollor billion ngapi mwaka huu kama hatujafika bilion alafu rwanda anauza billion basi hatupo serious..
Nimeona hapo juu mdau kapost Biteko akisema dola milioni elfu tatu na ushee ambazo ni kama bilioni 3 na kitu..
 
Mkuu Tanzania tuna watawala siyo viongozi na kama ni viongozi wanaongoza kwenye rushwa ufisadi uwongo nk.
Wapo tayari kuanzisha makampuni kama Richmond ili watuibie vizuri
Wakati P. Kagame akipigania Rwanda wao wanapigania matumbo yao.
Hakika
 
Soma na umalize nilichoandika.
Haindoi ukweli kuwa Kagame ana shida fulani na hateteiki kwa maneno ya mtandaoni
Acha unafiki kujifanya una hasira na Kagame, wakati watu wanaiba hapa kila siku kwenye ripoti ya CAG mmekaa kimya. Anzeni kupiga kelele wizi wa ndani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…