Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Training ground for his armyPK kanusa utajiri wa gesi kwa Wamakonde huko. Watajuta kumjua, awaulize Wacheza Ndombolo (Congo)
Usimuite PK sema Mshauri wa Mwendazake, aliyegoma kuja kuzikaMiezi 6 baada ya Rwanda kwenda huko hao magaidi watakuwa hatari zaidi PK anaenda kuwa supplying line ya silaha kwa magaidi
Nchi zote za SADC zinapeleka majeshi huko.. South Africa, Namibia, Zimbabwe, Tanzania, Congo, Zambia nkLabda Tanzania ingepeleka jeshi huko, rwanda ni kutaka gesi tu.
Wanaenda kuiba madini, Kama wafanyavyo Goma Congo DR
Hizo ndo nchi zote za SADC?Nchi zote za SADC zinapeleka majeshi huko.. South Africa, Namibia, Zimbabwe, Tanzania, Congo, Zambia nk
Ndo maana nikaweka nk.. maana yake na kadhalika! Bado hujaelewa tu?Hizo ndo nchi zote za SADC?
Majeshi ya Sadc wajiandae kufeli, misheni zao zote zitakua reportedMiezi 6 baada ya Rwanda kwenda huko hao magaidi watakuwa hatari zaidi PK anaenda kuwa supplying line ya silaha kwa magaidi
DuhUsimuite PK sema Mshauri wa Mwendazake, aliyegoma kuja kuzika
Okay. Tuma salamu kwa watu watatu...Ndo maana nikaweka nk.. maana yake na kadhalika! Bado hujaelewa tu?
Rwandan Patriotic Front (RPF) Wamakonde watakoma kumjua PK.RDF ndani ya Mozambique OK
Namtumia salamu marehemu jiwe popote huko anakoteswa, ujumbe - watanzania sasaiv wameanza kunawiri!Okay. Tuma salamu kwa watu watatu...
Hahahaha mkuu kwani kuna RPF Rwanda ?Rwandan Patriotic Front (RPF) Wamakonde watakoma kumjua PK.
Labda Tanzania ingepeleka jeshi huko, rwanda ni kutaka gesi tu.