Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,465
Daah balaa.Kuwa makini ukiwaalika watakuja kihivi
Hii video mmekua mkiituma sana humu Leo nmeamua kuingalia ...Kuwa makini ukiwaalika watakuja kihivi
The only East African country that is known for cooking her economy is Tanzania. World Bank and IMF can testify with me.Rwanda has no hunger Kunyaland with cooked economy is suffering of hunger and abject poverty !
The only East African country that is known for cooking her economy is Tanzania. World Bank and IMF can testify with me.
Hii video mmekua mkiituma sana humu Leo nmeamua kuingalia ...
Honestly you guys ni watu wa ajabu sana,I thought beggars wenyewe ni watu wenye viungo vyote kumbe hao walemavu ...warudisheni Tz msituchoreshe ili muonekane watu wa maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Warudisheni kuliko huo unafiki mnaendeleza hapoKila tukiwarejesha kwenu huko huwa wanarudi na ndugu zao zaidi wanaongezeka kuliko awali.
really??, you don't know why am talking about Bongolalas... tunnel reasoning at best.Tanzania imeingilia wapi hapa😂😂 yaani kila dakika mikenya ina waza tu Tz..Tz sio ligi yenu..Go compare yourselves with Nigeria which the City of lagos has a higher GDP than the whole of kenya😂😂😂
Umesoma Kichwa cha uzi? wapi hapo umeona jina Tanzania?really??, you don't know why am talking about Bongolalas... tunnel reasoning at best.
Yes we compare ourselves to Nigeria, South Africa, Egypt , Tunisia, Morocco ...hao ndiyo wako juu yetu.
but its still a shame for Bongolalas to compare themselves to Kenya...aibu
Kila tukiwarejesha kwenu huko huwa wanarudi na ndugu zao zaidi wanaongezeka kuliko awali.
You wish. Aibu ya omba omba wa kitanzania kwenye miji ya Kenya haitafichika kwa uongo na longolongo za peni mbili. Tafuteni suluhisho, imekuwa kero hadi kwenye miji midogo kama Bomet. Soma hii taarifa kuhusu cartel za kitanzania zilivofichuliwa baada ya hakimu kwenye mahakama ya Bomet kuamuru watz wawili(mmoja ambaye alikuwa anatumiwa mwenzake mlemavu kuomba) kurudishwa kwao. Yaani Cartel za kitanzania zinawaleta jamaa na ndugu zao, tena walemavu na watoto pia, kutoka Tz kuja kuomba omba nchini Kenya kisha hela zinawafaidi wao. Sidhani kuna uhuni zaidi ya huo.Kenya hauwezi kuwa omba omba jijini bila kuwa na mdhamini..Askari wa jiji huuza " "prime spots" Za omba omba..Yaani shida ya biashara chafu ya human traffiking kenya kubwa sana
And we give you aid and return stollen gold just to make sure our poor elder brother gets a footing at these harsh economic times.and yet Rwanda feeds Kunyland!
Dar es sluum Kuna mbili ile ya towers 3 na slum inayoizingira Hizo towers.Kwanza Nairobi zipo Mbili
Nairobi ya mabeberu
na Nairobi ya wakenya ( SLUM) sasa ni ipi unayo zungumzia ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavukaje boarder??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kali sana, mnawalaumu wakenya kuhusu omba omba wa kitanzania ambao ni kero kwenye miji karibia yote ya Kenya? Tena mbaya zaidi ni kwamba kuna watanzania wengine wengi ambao wanatumikia vifungo virefu kwenye jela za Kenya. Kwasababu ya kuwaleta walemavu, hadi watoto, kutoka Tz kuja kuwatumia kama kitega uchumi chao nchini Kenya.Warudisheni kuliko huo unafiki mnaendeleza hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Omba omba itakuwa shida ya Tanzania kivipi? kwani wanachafua taswira ya miji ya TZ? Na kama umekubali ni biashara sio umaskini, basi wacha waingize zao wapeleke bongo..Uwepo wao kenya haishushi taswira mijini maana miji yote tayari imejaa slums.You wish. Aibu ya omba omba wa kitanzania kwenye miji ya Kenya haitafichika kwa uongo na longolongo za peni mbili. Tafuteni suluhisho, imekuwa kero hadi kwenye miji midogo kama Bomet. Soma hii taarifa kuhusu cartel za kitanzania zilivofichuliwa baada ya hakimu kwenye mahakama ya Bomet kuamuru watz wawili(mmoja ambaye alikuwa anatumiwa mwenzake mlemavu kuomba) kurudishwa kwao. Yaani Cartel za kitanzania zinawaleta jamaa na ndugu zao, tena walemavu na watoto pia, kutoka Tz kuja kuomba omba nchini Kenya kisha hela zinawafaidi wao. Sidhani kuna uhuni zaidi ya huo.Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke
Ingekuwa ni sifa na sio tatizo la kitanzania hungekuwa unamwaga povu hivi na kutumia nguvu nyingi kupindisha ukweli ambao upo wazi. Yaani kuna hadi wakimbizi wengi sana nchini Kenya ambao nchi zao zimekuwa kwenye vita kwa miaka mingi sana ila hutawapata mitaani wakiomba omba. Kama S.Sudan na Somalia, kwahivyo huwezi ukawalaumu wakenya kwa njia yeyote ile. Hakuna jambo lingine ambalo linaweza likamfanya mtz asafirishe watz wenzake, watoto, ndugu na jamaa zake walemavu kuja Kenya kuwatumia kuomba omba isipokuwa umasikini. Alafu kwasababu wengi wao ni walemavu kuna factor ya wao kutelekezwa nchini mwao na serikali yao kutokuwa na sera na mikakati ya kueleweka ya kuwawezesha kujikimu kimaisha.Omba omba itakuwa shida ya Tanzania kivipi? kwani wanachafua taswira ya miji ya TZ? Na kama umekubali ni biashara sio umaskini, basi wacha waingize zao wapeleke bongo..Uwepo wao kenya haishushi taswira mijini maana miji yote tayari imejaa slums.
Hivi unafahamu 90% ya omba omba Mijini ni ni watoto na wamama chokoraa wa kenya?Ingekuwa ni sifa na sio tatizo la kitanzania hungekuwa unamwaga povu hivi na kutumia nguvu nyingi kupindisha ukweli ambao upo wazi. Yaani kuna hadi wakimbizi wengi sana nchini Kenya ambao nchi zao zimekuwa kwenye vita kwa miaka mingi sana ila hutawapata mitaani wakiomba omba. Kama S.Sudan na Somalia, kwahivyo huwezi ukawalaumu wakenya kwa njia yeyote ile. Hakuna jambo lingine ambalo linaweza likamfanya mtz asafirishe watz wenzake, watoto, ndugu na jamaa zake walemavu kuja Kenya kuwatumia kuomba omba isipokuwa umasikini. Alafu kwasababu wengi wao ni walemavu kuna factor ya wao kutelekezwa nchini mwao na serikali yao kutokuwa na sera na mikakati ya kueleweka ya kuwawezesha kujikimu kimaisha.
Mkipigwa upande wa Gdp mnakimbilia upande wa chakula.Yet Rwanda haina njaa while the whole of Kunyaland has hunger!