Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Huyu mdau anataka kuchukua point 3 za bure humu πππaisee, naona hako ka gauge kanasoma na flow rate kabisa
hahaha kazinguaHuyu mdau anataka kuchukua point 3 za bure humu πππ
anauzaje ryzen ya twitter ππ
View attachment 2436953
Hahahaha. Njia ya muongo ni fupi mnoHuyu mdau anataka kuchukua point 3 za bure humu [emoji23][emoji23][emoji23]
anauzaje ryzen ya twitter [emoji23][emoji23]
View attachment 2436953
Huyu mdau anataka kuchukua point 3 za bure humu [emoji23][emoji23][emoji23]
anauzaje ryzen ya twitter [emoji23][emoji23]
View attachment 2436953
View attachment 2437113
View attachment 2437114
View attachment 2437115
View attachment 2437116
Vitu vidogo hivi vijana
Kias ganView attachment 2436944
Nauza ryzen 5950
Hapana mkuu, haiwezi kufika huko ππUnatisha mkuu yaani hapo hadi unamaliza building utakuta ni toyota passo kabisa unaenda kuiweka mezani.ππππ
Tunapenda haya madude tatizo uchumi nao unatuvuta shati.
umaskini ni mbaya nyie...π
niko hapa hapa nasubiri uje uiwashe na monitor ya kibabe halafu unacheza god of war Ragnarok... huo unyama wake sipatii picha.
Kabla hujanunua lazima ufahamu kwanini ufanye hivyo na je kuna ulazima wa kufanya yote hayo.Mkuu kwasisi ambao hatujapita shule ya hayo Mambo. Tukinunua vifaa HIVYO kuviunga inakuaje sasa hapo [emoji848][emoji848]
1. kupunguza gharamaVery Interesting, Japo purpose ya Hii mitambo sijaielewa vizuri ? Tuepeana elimu, napenda kujifunza
1. kupunguza gharama
2. Kulipia kile unachomudu na unachohitaji.
Ni kama unavyojenga nyumba, una uwezo wa kununua nyumba iliyokwishajengwa tayari au ukaamua kujenga yako kwa sifa unazotaka wewe, ndio mfano hai.
ina maana mpaka ukamilishe na full gadgets kma PC monitor for gaming huenda full bajeti ikasoma 4million sio.1. kupunguza gharama
2. Kulipia kile unachomudu na unachohitaji.
Ni kama unavyojenga nyumba, una uwezo wa kununua nyumba iliyokwishajengwa tayari au ukaamua kujenga yako kwa sifa unazotaka wewe, ndio mfano hai.
Γnategemea inaweza ifike au isifike kulingana parts ulizopanga kutumia.ina maana mpaka ukamilishe na full gadgets kma PC monitor for gaming huenda full bajeti ikasoma 4million sio.
Tatizo ni wivu wa watanzaniaView attachment 2437113
View attachment 2437114
View attachment 2437115
View attachment 2437116
Vitu vidogo hivi vijana