S10 android 12 na ukosefu wa quick data button

S10 android 12 na ukosefu wa quick data button

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana.
Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T
Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button ya data kwenye quick panel. Nalazmika kuzunguka wenye setting kuzima na kuwasha data. Unaona! Nimesoma soma mtandaon ni kama kuna namna ya kuingiza ilo file.
Pia sms hazina sehem ya delivery report. Anayejua mtaalam dar anisaidie vitu hiv vinanikosesha raha ya matumizi.
Natanguliza shukran
 
Simu zote za samsung zenye android 11 kwenda juu haswa hizi s na note siries hazina derivaerd reports
 
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana.
Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T
Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button ya data kwenye quick panel. Nalazmika kuzunguka wenye setting kuzima na kuwasha data. Unaona! Nimesoma soma mtandaon ni kama kuna namna ya kuingiza ilo file.
Pia sms hazina sehem ya delivery report. Anayejua mtaalam dar anisaidie vitu hiv vinanikosesha raha ya matumizi.
Natanguliza shukran
Kuna app moja hivi naitumia ya kuzimia na kuwasha data....ngoja niilete hapa
 
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana.
Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T
Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button ya data kwenye quick panel. Nalazmika kuzunguka wenye setting kuzima na kuwasha data. Unaona! Nimesoma soma mtandaon ni kama kuna namna ya kuingiza ilo file.
Pia sms hazina sehem ya delivery report. Anayejua mtaalam dar anisaidie vitu hiv vinanikosesha raha ya matumizi.
Natanguliza shukran
Mimi Nina s9 nayo una changamoto hiyo hiyo yako
 
Amani na iwe kwetu wote. Nashukuru jukwaa la tech ndo huwa hawana bla bla nimesaidika sana.
Sasa nina samsung s10 ina android 12. AT &T
Tatizo lake sasa linaloninyima raha ni kutokuwepo button ya data kwenye quick panel. Nalazmika kuzunguka wenye setting kuzima na kuwasha data. Unaona! Nimesoma soma mtandaon ni kama kuna namna ya kuingiza ilo file.
Pia sms hazina sehem ya delivery report. Anayejua mtaalam dar anisaidie vitu hiv vinanikosesha raha ya matumizi.
Natanguliza shukran
Tumia hii app Check out "Mobile Data Switch- Mobile dat"
 
Shukran mdau.
Hata wale wanaojua kuingiza file kwenye android nitashukuru.
 
Mpaka nafika humu kwa magenius ni kwamba si suala la settings. Ni hizo huduma 2 hazimo
Anamchomaanisha mdau unavuta pazia kunakuwa na kialama kama cha kalamu unaclick hapo unaweza edit kitu kipi kiwe quick setting kipi kisiwe, ongeza unachotaka, toa usichotaka.
 
Back
Top Bottom