Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani watu waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka mikoani walipokuwa wanafika alfajiri Morogoro walikuwa wanashuka na kupanda Coasta kwenda Dar ambazo zilikuwa zikitumia saa mbili tu kufika Kariakoo ambapo ndipo ilipokuwa stendi ya mikoani baada ya kuhamishwa kutoka Kisutu. Unbungo ilkuja baadae sana miaka ya 90sDar es salaam mpaka Morogoro ni umbali usiozid kilometa mia mbili lakini muda unaotumika kwa sasa hasa mabus ya Abiria ni masaa manne mpaka matano.Hii haina tija kwa uchumi wa nchi.Ni lazima lifanyike jambo la haraka.
Dar es salaam mpaka Morogoro ni umbali usiozid kilometa mia mbili lakini muda unaotumika kwa sasa hasa mabus ya Abiria ni masaa manne mpaka matano.Hii haina tija kwa uchumi wa nchi.Ni lazima lifanyike jambo la haraka.
Stendi ya Moro ilikuwa Magomenimapipa, baada ya basi moja kupata ajali na kuua abiria wote kasoro mmoja aliyekuwa siti ya nyuma kushoto hizo basi zilisimamisha safari bila shuruti.Zamani watu waliokuwa wakisafiri kwa treni kutoka mikoani walipokuwa wanafika alfajiri Morogoro walikuwa wanashuka na kupanda Coasta kwenda Dar ambazo zilikuwa zikitumia saa mbili tu kufika Kariakoo ambapo ndipo ilipokuwa stendi ya mikoani baada ya kuhamishwa kutoka Kisutu. Unbungo ilkuja baadae sana miaka ya 90s
Magomeni mapipa stendi ilihamishiwa baadae sana mwishoni mwa miaka ya 90 baada ya ujio wa 'usafiri wa Chai Maharage'Stendi ya Moro ilikuwa Magomenimapipa, baada ya basi moja kupata ajali na kuua abiria wote kasoro mmoja aliyekuwa siti ya nyuma kushoto hizo basi zilisimamisha safari bila shuruti.
Duh! Chai Maharage kitambo sana,ilikua maarufu kwa zile Gari aina ya KIA za mizigo zilitumika kubeba abiria,zilikua zinakatwa ubavuni ili iwe kama dirisha ili kuingiza hewa na mwanga.Magomeni mapipa stendi ilihamishiwa baadae sana mwishoni mwa miaka ya 90 baada ya ujio wa 'usafiri wa Chai Maharage'
Chai Maharage kwa sasa ni maarufu Unguja hasa unapotaka kwenda miji ya shamba kama Mangapwani hadi VikokotoniDuh! Chai Maharage kitambo sana,ilikua maarufu kwa zile Gari aina ya KIA za mizigo zilitumika kubeba abiria,zilikua zinakatwa ubavuni ili iwe kama dirisha ili kuingiza hewa na mwanga.
Again mkuu imetoa mfano ambao unajidhihirisha ni jinsi gani watu wapo wajinga, accident it's someone fault sio bahati mbaya, inapotokea ni lazima uchunguzi ufanyike ili kujua chanzo ili isitokee tena, T1 ni barabara ya 70s muda wake ulishaisha kitambo mno we need a new,modern highway, angalia ile kitonga pass bado tunatumia technology ya miaka hiyo, pale ilitakiwa tupapanue,tujenge Arrester, tuweke pit stops za lazima kwa heavy vehicles ili tudhibiti speed zao, kinachofanyika sasa ni politics na traffic officer's wanaojificha kwenye zile blind corners ili kuchukua fedha kwa wanao overtake hii ni crazeStendi ya Moro ilikuwa Magomenimapipa, baada ya basi moja kupata ajali na kuua abiria wote kasoro mmoja aliyekuwa siti ya nyuma kushoto hizo basi zilisimamisha safari bila shuruti.
I concur with you 100%!!! The state of corruption never changes at allAgain mkuu imetoa mfano ambao unajidhihirisha ni jinsi gani watu wapo wajinga, accident it's someone fault sio bahati mbaya, inapotokea ni lazima uchunguzi ufanyike ili kujua chanzo ili isitokee tena, T1 ni barabara ya 70s muda wake ulishaisha kitambo mno we need a new,modern highway, angalia ile kitonga pass bado tunatumia technology ya miaka hiyo, pale ilitakiwa tupapanue,tujenge Arrester, tuweke pit stops za lazima kwa heavy vehicles ili tudhibiti speed zao, kinachofanyika sasa ni politics na traffic officer's wanaojificha kwenye zile blind corners ili kuchukua fedha kwa wanao overtake hii ni craze
Tatizo la muda wa kusafiri vs kilometers za umbali Tanzania ni kubwa! Yaani imefikia hatua huwezi kufanya calculations na zika make sense! Kwanini:Dar es salaam mpaka Morogoro ni umbali usiozid kilometa mia mbili lakini muda unaotumika kwa sasa hasa mabus ya Abiria ni masaa manne mpaka matano.Hii haina tija kwa uchumi wa nchi.
Ni lazima lifanyike jambo la haraka.
Magomeni mapipa stendi ilihamishiwa baadae sana mwishoni mwa miaka ya 90 baada ya ujio wa 'usafiri wa Chai Maharage'
Kitonga ilianza kwa kupitisha magari toka upande mmoja kisha kuruhusu magari ya upande mwingine! Hiyo ndiyo Kitonga ya 50's, na ilikuwa juu zaidi kuliko hivi sasa ipo chini zaidi. Tatizo la Kitonga ni mainjinia kutotaka kutumia zege badala yake wanatumia lami ambayo husukumwa na magari yateremkapo mlima, pia huenda hawana zana za kuipanua au kuchimba mahandaki.Again mkuu imetoa mfano ambao unajidhihirisha ni jinsi gani watu wapo wajinga, accident it's someone fault sio bahati mbaya, inapotokea ni lazima uchunguzi ufanyike ili kujua chanzo ili isitokee tena, T1 ni barabara ya 70s muda wake ulishaisha kitambo mno we need a new,modern highway, angalia ile kitonga pass bado tunatumia technology ya miaka hiyo, pale ilitakiwa tupapanue,tujenge Arrester, tuweke pit stops za lazima kwa heavy vehicles ili tudhibiti speed zao, kinachofanyika sasa ni politics na traffic officer's wanaojificha kwenye zile blind corners ili kuchukua fedha kwa wanao overtake hii ni craze
Pale ni ulaji pesa zilitoka kupanua barabara kuwa njia nne lakini wapi wakala mafisadi kwa kuingia mikataba ya ovyo kwa barabara nyembamba.Kitonga ilianza kwa kupitisha magari toka upande mmoja kisha kuruhusu magari ya upande mwingine! Hiyo ndiyo Kitonga ya 50's, na ilikuwa juu zaidi kuliko hivi sasa ipo chini zaidi. Tatizo la Kitonga ni mainjinia kutotaka kutumia zege badala yake wanatumia lami ambayo husukumwa na magari yateremkapo mlima, pia huenda hawana zana za kuipanua au kuchimba mahandaki.