Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc: SAASHISHA MAFUEKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka leo Jumanne Septemba 27, 2022 amesema chama hicho kimefuta matokeo ya chaguzi tano za UVCCM pamoja na kusimamisha chaguzi zaidi ya tatu za Jumuiya ya Wanawake, kutokana na ukiukwaji wa maadili, rushwa na upangaji safu za uongozi.
Chanzo: MwanaHalisi
Alikukosea nini yule mtu kiongozi.Kuna kila dalili mbungewa Hai kuingilia uchaguzi wa chama wilaya ya Hai na amepuuza kauli ya bosi wake comred Chongolo.
View attachment 2369843
Well said ,halafu uzi hauendi kabisaaWee nae kila siku unaangaika na Saashisha. Tafuta pesa familiar yako Ile ugali kuku achana na majungu