Uchaguzi 2020 Sababu 10 kwanini tumpumzishe Rais John Magufuli

Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika
February 5, 2020 Kilosa, Tanzania Wahandisi : Reli ya kati ihamishwe toka eneo la mafuriko na pia SGR kuchukua miaka 15 kukamilisha Wakati wa ukaguzi wa uharibifu wa njia ya reli ya kati sehemu za Gulwe na Kilosa, wataalamu wa ujenzi wa reli wamebainisha kuwa Tanzania itaendelea kuitumia
Source: Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika

 
Mkuu sina cha kuongezea
Naomba UBARIKIWE.
 
Mkuu katika vitu umefeli ni kwenye hoja ya udini pale juu Kuna Makamu wa Rais na Waziri mkuu wote waislamu Kama angekua na udini mh. Rais asingempendekeza wala kumteua PM kwaio ilo swala nakupa kalipio acha Mara moja kuleta hoja dhaifu zenye mlengo wa kutugawa sisi ni Watanzania Kwanza kabla ya mambo mengine yote.
 
waTanzania wote kwa ujumla ni wakati tufanye uchambuzi juu ya wale wote wanaotaka kuchukua nafasi za uongozi wa dola .

Maana vyombo vingine kama vituo vya TV, Redio , Magazeti, majarida wanaogopa kufanya uchambuzi kuelekea uchaguzi 2020.
 

Chama cha mama oyeeee
 
Hukatazwi kuongea mawazo yako, ila umetoa ya kijinga sana!
 
Hukatazwi kuongea mawazo yako, ila umetoa ya kijinga sana!

Mjinga hudhani mawazo ya maana ni ya kijinga kwa sababu upeo wake na uelewa wako ni mdogo. Huwezi kuelewa thamani ya
mawazo makubwa. Ndiyo maana wewe umetoa comment hiyo ya kipuuzi na ya kipumbavu kabisa
 
Apumzike tu huyu mzee hana faida kwa nchi hii zaidi ya hasara tupu.
 
Haya makala yawekwe kwenye disc au yapelekee kwenye gazet LA Tanzania' daima umechambua vxr tu cna neno ila UKwel upo
Kawe alumn atakuja kusema mbona rais kajenga flyover??? Unajiuliza fly over mbili ya tazara na ubungo ina faida gani kwa mwananchi wa Mbagala achilia mbali wa chamwino dodoma??
 
Apumzike tu huyu mzee hana faida kwa nchi hii zaidi ya hasara tupu.
Kwa Hoja hizi Rais Magufuli ajitafakari kama bado ana sifa ya kuendelea kuongoza nchi hii. Na ajiulize ni kwanini asipumzishwe.
 
Ngoja awachape, anajua ana kinga' awakaze na vyuma mpaka mvunjike mkome! miaka mingine 5, si tuliwaambia huyu chizi hafai mnipe mimi, mkaniona nina tamaa na uchu! mjifunzege.

Sasa kiko wap? safari hii naja nampa kura yangu, anajua matanzania ni wanafiki,vigeugeu! waoga! elimu dororo! maskini,tamaa za kuiga, hao islam ndo waoga kabisaa! waliandamana enzi za kikwete mpole tu,

Ilikuwaje wakaporwa Uhuru na Nyerere? jib uoga! usaliti viliwaponza!
 
Hafai Kabisa Kuongoza huyo mtu Uchumi umepiga mweleka chini ya utawala wake!! Enzi za Kikwete maeneo yalikuwa yanajengwa sana ila utawala huu watu wanaojenga ni wale walio kwenye ajira ila zamani hadi sie madalali tulikuwa tunakamata pesa,tangia jamaa aingie imebidi niache udalali niingie kwenye kulima/kufuga!!
 
Hii ni takataka kama takataka zingine tu,maelezo marefu bila kutaja kifungu hata kimoja cha katiba kilichovunjwa ni upoyoyo wa hali ya juu ,kifupi wewe ni utoko tu,tena wa kovi la mpagani
 
Daah! Sijui nikupe pongezi gani Ila nakuomba kunja mkono wako alafu upige kifua huku ukisema wewe ni mtanzania wa kweli maana umeandika points bila kudanganya kasoro iyo point ya 2 sina uhakika kiivo coz sijafanya hesabu Ila vingine ni ukweli mtupu na vingine umesahau kuvijazia kama hakuna madawa hospitalini na huu ukweli nilienda hospitali ya mnazi mmoja naandikiwa dawa nafika pale hakuna kitu. So kama kuna mtu akisema umeandika uongo au utumbo akujibu kwa hoja kwa kuzijibu point zako Ila ukiona anaponda tu pasipo kuweka hoja basi umepiga penyewe.

Ngoja nikupe story moja kuna mwanangu mmoja anaishi South alikua ananipigia na kuniambia asa hivi naona kwa Millard ayo jinsi Magu anavyopiga kazi na kuipeleka nchi mahali pazuri nikamwambia wewe hujui kinachoendelea huku sicho unachoona kwenye vyombo vya habari unaamini ni hali halisi maana hali ni mbaya mtaani na kuna msemo mpya wa vyuma akaniambia sio kweli wakati kuna makusanyo ya kodi yamepanda yako juu kuliko awamu ya Kikwete utasemaje hali ni mbaya nikamwambia haya Basi hazijapita siku nyingi mbona uko raia wananiomba hela kila nikipiga simu na wanalalamika mitaji imekata na kazi kampuni binafsi wengi wametemwa nikamwambia iyo ndo Tanzania ya leo achana kumsoma Millard Ayo kuanzia leo kwenye habari zinazohusu Serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…