Ndugu,
Sababu 10 zinazowafanya watu kujazana kwa Babu.
1.Huulizwi ugojwa 2.Hupimwi. 3.Hulazwi. 4.Huandikiwi doz 5.Hupigwi Xray 6.Hufungwi P.O.P 7.Huwekewi drip 8.Hupewi miwani 9.Huchomwi sindano. 10.Huambiwi rud kesho. watanzania hatuulizani tena umepima? Tunasema umeenda kwa BABU?Gtime.