Sababu 10 za maaskofu kukataa katiba pendekezwa

wenye akili wanakuangalia halafu .......


Mwakaboko aka Chura uliyelazimishwa kunywa maji ya moto we endelea kupiga kelele mpaka ukaribie kupasuka na hao waliokushikia akili watakukimbia tu maana uongo uliomezeshwa umefikia ukingoni.
 
mwakaboko aka chura uliyelazimishwa kunywa maji ya moto we endelea kupiga kelele mpaka ukaribie kupasuka na hao waliokushikia akili watakukimbia tu maana uongo uliomezeshwa umefikia ukingoni.

katumwa huyo na watu flani kwahiyo anaposhindwa kujibu hoja ndo anakuwa hivyo, wala usimshangae kabisaaa ndo alivyo huyo.
 
Mwakaboko aka Chura uliyelazimishwa kunywa maji ya moto we endelea kupiga kelele mpaka ukaribie kupasuka na hao waliokushikia akili watakukimbia tu maana uongo uliomezeshwa umefikia ukingoni.
nilisha kwambia kwamba ondoa wasiwasi Katiba Pendekezwa itapita, hata kama wananchi watapiga kura ya hapana itapitishwa. Inaonesha hutunzi kumbukumbu vizuri kwani kwenye BMK, ilikuwaje? si ilipita kipi cha kuizuia isipite sasa. Ondoa shaka utapata kiinua mgongo chako kwa hili unalolifanya sasa la kutukana watu bila sababu, au tumefanya kosa kusema katiba ya chenge inalinda wezi wa mali ya umma?

Tumia akili yako ya kuzaliwa jifunze kwa Bw.Lee
 
Jifunze kwa waliofanikiwa sio kwa waliofeli

SASA WEWE NDO UMEFELI MWAKABOKO, KWANZA JINA LAKO NAMATENDO YAKO YANAJIDHIHIRISHA JINSI AKILI YAKO ILIVYO, AKILI YAKO IMEEXPIRY NA HUJUI KUWEKA HOJA ZAIDI YA KUPANICK PALE UNAPOONA UMEZIDIWA, POLE SANA NDUGU VUMILIA TU NDO UKUBWA HUO KAMA MANENO YANGU YANAKUUMIZA SANA BASI PUMZIKA KOJOA UENDELEE KULALA NAONA LEO UMEKOSA UCNGZ MPAKA UMEJIHIMIA ASUBUHI KUONA MAJIBU YANGU KWAKO. Hahahaha MWAKABOKO HUNA SERA WEWE UMEFULIA. ACHA KUPANICK WEWe kasome katiba uielewe na uweke hoja za maana, hapa nakupa dozi tu mpaka uchanganyikiwe.
 
itakuchukua miaka mingi kujua kuwa jina lako ni laana kwa nchi
 
Hivi ikiboreshwa ina maana haya mazuri ya makundi maalum yatatolewa?
 
itakuchukua miaka mingi kujua kuwa jina lako ni laana kwa nchi

MWAKABOKO AKILI YAKO CJUI IMELEWA BANGI NA IMEVUTA GONGO???!! DUH UNAONEKANA UMEISHIWA MANENO HUMU NDANI, C UTOKE UFANYE MAMBO MENGINE KAMA KUPIKA, KUOSHA VYOMBO, KUMWOGESHA MTOTO N.K HIZI CO FANI ZAKO MWAKABOKO. We fanya hayo nlokushauri, jamaa hapo juu wanakushinda kwa points tupu.
 
Asante kwa kutuonesha vitu unavyovipenda sana, utakufa tu hakuna namna nyingine. Kama kweli unapenda kuvuta bangi na kunywa gongo utakufa tu maana hakuna namna nyingine ya kukusaidia
 


Kwani suala la katba likiahirishwa mpakabaada ya uchauzi mkuu CMm maingia msituni. Mataki mema a nhi ni yepi.
 
kwani suala la katba likiahirishwa mpakabaada ya uchauzi mkuu cmm maingia msituni. Mataki mema a nhi ni yepi.

we ebu weka maneno yako sawa, maana ulichokiandika hapo as if mtoto ambaye anajifunza kuongea, andika vizuri ueleweke then watu wakujibu hiyo hoja yako.
 
Umeelewa sana ila kwa kuwa umetumwa uje useme hivyo unajua wote watoto. Ahirisheni kura za maoni tumieni katiba ya zamani baada ya uchaguzi, Raisi mpya aendelee na mchakato hakuna haja ya kugombanisha watu kisa mnataka mlazimishe mambo. Niambie hivyo vitambulisho vya kura mpaka sasa mmefanikiwa kwa asilimia ngapi ukitoa jibu endelea kutetea ama kaa kimya kanywe bia leo ijumaa.
 

umetumwa wewe na maaskofu uchwara wala sio bure, umekalia kupinga tuu.
 
kwanza maaskofu ni wasomi kuliko kiongozi yoyote wa ccm.
Hivi sitta anasali kanisa gani? Hili babu sitalisahau lilitukana sana viongozi wa kikristo
 
kwanza maaskofu ni wasomi kuliko kiongozi yoyote wa ccm.
Hivi sitta anasali kanisa gani? Hili babu sitalisahau lilitukana sana viongozi wa kikristo

BORA HATA ALIVYOWATUKANA COZ WANAINGILIA MAMBO YA SIASA, MAMBO YA KUHUBIRI INJILI YAMEWASHINDA SASA WANAINGIA KWENYE SIASA, HAIWAHUSU HIYO WAO WANAPASWA KUENDELEA KUHUBIRI INJILI YAO, YA KAISARI WAMWACHIE KAISARI NA YA MUNGU WAMPE MUNGU!! Khaaa!!
 
hapana katiba pendekezwa

Hakika Katiba Inayopendekezwa ipo jukumu la Watanzania wote ni kuisoma na kuielewa Katiba Inayopendekezwa ili kufanya uamuzi sahihi wakati wa upigaji kura ya maoni muda muafaka ukifika kulingana na ratiba ya NEC maana wao hilo ndiyo jukumu lao na sii vinginevyo.
 
Nashukuru sana kuona mwanafunzi wangu Mwakaboko wa chekechea karudi ulingoni ili kufundishwa. Kwa sasa ameweza kushika kalamu lakini kusoma bado. Hivyo ndugu yangu njoo niendelee kukufundisha ili ujue kosoma pengine utasoma Katiba inayopendekezwa na kuielewa kuhusu kupiga kura hutaweza kwani ni juzi tu umehitimu chekechea hivyo unaenda grade I mwakani. Hivi vitu vya katiba vinakuzidi ufahamu. Umesikia eeh!
 

hao ni akina Mwakaboko. MTK, President Elect, Ego, Tyta, Ishmael n.k hawa watu wametumwa so ukiwaona wala usiwashangae ndo wale wale vibaraka na vibarua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…