Sababu gani hufanya Kongo iwe na visa vya milipuko ya magonjwa

Sababu gani hufanya Kongo iwe na visa vya milipuko ya magonjwa

Madini ni kama laana ndani ya Congo vita na magonjwa vinawaandama

Magonjwa ni moja ya bioweapon kuifanya Congo isiwe stable ndio sabab kila virus na bacteria vinazo fanyiwa genetic modification kwenye Lab zao kubwa testing inafanyiwa Congo hata Ngoma nazani ilianzia uko
 
Madini ni kama laana ndani ya Congo vita na magonjwa vinawaandama

Magonjwa ni moja ya bioweapon kuifanya Congo isiwe stable ndio sabab kila virus na bacteria vinazo fanyiwa genetic modification kwenye Lab zao kubwa testing inafanyiwa Congo hata Ngoma nazani ilianzia uko
Maelezo yananitosheleza!
 
Madini ni kama laana ndani ya Congo vita na magonjwa vinawaandama

Magonjwa ni moja ya bioweapon kuifanya Congo isiwe stable ndio sabab kila virus na bacteria vinazo fanyiwa genetic modification kwenye Lab zao kubwa testing inafanyiwa Congo hata Ngoma nazani ilianzia uko

Y'all conspiracy theorists are so gullible. Waache kula nyani na popo.
 
Naomba kujuzwa kwanini homa homa nyingi za milipuko huwa lazima kesi zitokee jamhuri ya kidemokrasia ya kogo..mfano ebola,homa ya nyani,n.k

Kwa mwendo huu hutakuwa unaelekea kwenye nadharia kama zile za yule ndugu na tetemeko, ukimwi, nk Kagera?
 
Misitu na wanyama ni wengi na muingiliano wa wanyama na binadam ni mkubwa sana
Kumbuka Kongo watu wanakula Kila mnyama huko porini jambo ambalo si sawa ki afya
Huna D mbili wewe....issue ni madini yao wazingu wanawalipua tu na magonjwa.
 
Madini ni kama laana ndani ya Congo vita na magonjwa vinawaandama

Magonjwa ni moja ya bioweapon kuifanya Congo isiwe stable ndio sabab kila virus na bacteria vinazo fanyiwa genetic modification kwenye Lab zao kubwa testing inafanyiwa Congo hata Ngoma nazani ilianzia uko
Wazungu wanatumia kila mbinu wanayoiweza kuhakikisha kuwa hamuwezi kuendelea...
 
Misitu na wanyama ni wengi na muingiliano wa wanyama na binadam ni mkubwa sana
Kumbuka Kongo watu wanakula Kila mnyama huko porini jambo ambalo si sawa ki afya
Ishu ya misitu si sababu kama ni hvyo basi Brazil na majirani zake wangekuwa na shida kama DRC kwa sbb ya amazon

Indonesia,Malaysia,Equatorian Guinea,Central Africa na Nigeria nazo zingekuwa na chain hiyo kwa sababu ya uwepo misitu minene

Labda sbb moja tu mazoea ya raia wa DRC kula kila kitu otherwise kuna kitu kipo chini kwa chini ambacho wakubwa wa dunia wanajua nini wanafanya
 
Y'all conspiracy theorists are so gullible. Waache kula nyani na popo.
Yeah it's conspiracy Lakini zipo makala nyingi zinazo husu bioweapons zinavyo tumika ndani ya Congo ukiachilia mbali vita inayo piganwa kila siku moja ya ugonjwa unaotumiwa zaidi ni Ebora ambayo ni ugonjwa tishio ndani ya nchi yoyote

Hii kula nyani na popo ni story tu
 
Nadhani mazingira ya vita, kuhamahama, kuishi misituni kumewafanya binadamu kuishi kwa kutegemea matunda pori, wanyama wa porini na kila mdudu wa porini. Wamerudi zama za kale!
 
Huu upuuzi wa kula Nyani, ngedeere,sokwe mtu,mbilikimo na vitu kama hivyo.utaachaje kupata maradhi yawanyama?
 
wazungu wanapoleta misaada ndo wanainject majaribio ya maadudu yao haswa wanapotaka mass sample(hii ni sample ambayo ratio yake inatakiwa iwe kubwa kwa kujaribu thesis)
congo ni rahisi coz inaingilika kirahisi kwa mgongo wa misaada ya chakula,dawa,silaha kwa serikali nk
 
Back
Top Bottom