Sababu gani inasababisha mwanamke asitoe majimaji (Lubricants) wakati wa tendo la ndoa?

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
Ijumaa kareem wana MMU,

Hivi nisababu gani inaeza sababisha mwanamke asitoe yale maji maji ( lubricants) yanayosababisha dudu liingie vizuri na kiulani pangoni bila kuumizana? Ni hivi kuna mdada mmoja majuzi kapigwa exile na mchumba wake mpaka aseme ametoka pigwa mtungo na nani. Ilikuwa usiku muda uleeeeee wa mambo yetu yale sasa.

Kukurukakara za hapa na pale za kutaka kupandishana na kushushana. Wakafanya romansi weee mpaka bwashee alipofikia muda wa kutaka kuzamisha kitu kulee bwana papuchi ikatema kile kilainishi kiduchu sana kiasi kwamba kilikua kwa pale ju juu tu yule bwashee alipozamisha mashine ikachubuka weee!

We mwanamke sema umetoka fanya na Nani leo mana haiwezekani kila siku tunafanya leo tu iwe hivi..! Cheki sasa umenichubua. Mke akajitetea tetea hapo but mme kachachamaa eti mke aseme katoka gongwa na nani ilihali wanaishi pamoja na hata yeye mke kachubuka mana ilipoingizwa kulikua kukavu kidizaini.

Basi usiku ukawa mrefu hapo mbinde mbinde uende hukohuko ulikofanywa mpaka saivi akili yako ishindwe kuniwaza mimi imuwaze huyo hadi umenichubua.Maskini bidada wa watu ni kulia tu mana hata yeye haelewi kwanini na wanaishi pamoja na walikua wote since morning iweje yamkute hayo.

Ndio nauliza hapa; Je, nini kinaweza kuwa sababu ya kutotoa yale majimaji?
 
Duh! Umeandika 'kigumu' kama kidume flani hivi......inshort ni kwamba ile fluid inakuja pale bidada anapokuwa in a moody! Ule mchezo uko more psychological kuliko physical, yaelekea wakati bwashee akiwa anahangaika kutafuta 'spot' za kumlegeza mwanamke, yeye bidada alikuwa anawaza kazini kwake au mikopo vikoba huo au mambo mengine mazito kadhaa!

Pia inategemea na mazingira, labda wakato huo huyo dada hakuwa comfortable! Mathalani kama walikuwa seheme kuna feni au A/c kali sana inakuwa ngumu kidogo kwa bidada kupata ute! Pia yaweza kuwa amepata infections so anaweza kwenda kuwahi check up hospital!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 

Upo sahihi, ile game ni more psychological, demu hakuwa kwenye mood huyo, maandalizi hata yafanywe cku nzima, kama mmoja hayupo kwenye mood ni kaz bure
 
Huyo jamaaa sijui wawapi, lakini wengine inachukua mda, au alidhani ni bahari 24/7 haikaukiii.. Mara nyengine aende na KY yake au chupa ya Uhai lita moja ili kuepuka umchubuo...

hiyo lita moja itafanyeje?? samahan naomba nieleweshe kidogo!
 

hahahahaha Aisee thanks kwa kunichekesha asubuhi asubuhi eti vikoba duh! ila hata mi kabla ya yote nlimuuliza bidada una kitu kinakusumbua akilini mwako??
 
Upo sahihi, ile game ni more psychological, demu hakuwa kwenye mood huyo, maandalizi hata yafanywe cku nzima, kama mmoja hayupo kwenye mood ni kaz bure

unajua nini huyo Kaka anazijua points of weakness za mchumbake so alimshika Shika binya binya nyonya wee lakini kunani hakukuwa na maji mengi so akajua lazima mke katoka kufanya tu ndomana maji yameishia huko eti! kama n ivo basi ingekuaga hekaheka kwakweli!
 
huyo jamaa apewe vitabu asome kuhusu wanawake ..... kwanza stress, mazingira, monopose, kutoka kugegedwa mda si mrefu, kukosa feelings na unayetaka kuliwa naye, magonjwa ... kifo...
 
khakhakhaaaaaaaaaa haloooooooooooooooooo!! hapana si kesi na si mimi banah!

Hahaaaa!! Sasa kama hii kesi haikuhusu wewe je wakati huyo bwashee akihangaika na my darling wake huko chumbani na ww ulikuwepo au ilikuwaje mpaka ukayajua hayo yote???
 
Sio kila siku papuchi unalainika. Kuna zile siku ambazo mwanamke anakuwa kwenye heat papu inakuwa laini na liquid inatoka kwa wingi na ya kutosha kabisa, hizi ni siku ambazo anajisikia haswaaa kushughulikiwa ( kwa mbwa au ng'ombe ndizo siku za kupiga kelele kutaka kupandishwa) . siku zingine liquid inakuwa kidogo sana hata kama ataandaliwa ipasavyo hapo ni lazima umsaidie kwa vilainishi vingine wengine hutumia hata mate (teh teh teh).

Ila kwa wale wenye mabwawa... unaweza usijue lini kuna liquid na lini imepungua... na hawa hujisikia kufanywa mara kwa mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…