Sababu itakayomkosesha simba ubingwa wa ligi kuu bara msimu 2016/17

Sababu itakayomkosesha simba ubingwa wa ligi kuu bara msimu 2016/17

lil wayne

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2016
Posts
992
Reaction score
904
Kuna kitu nimegundua ambacho kinatofautisha Klabu ya Simba na Yanga kwenye nyanja nzima ya kuwania Ubingwa.

Ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa kikosi cha YANGA kina (depth) kubwa mno na wachezaji wake wengi ni vilaka ukilinganisha na mahasimu wao SIMBA.

Naona huenda ikawa sababu ya kuwa na Wachezaji wengi pia wenye uwezo wa kufunga....

1. Wachezaji wengi wa safu ya ushambuliaji wa Yanga ni vilaka... Nikimaanisha NGOMA anaweza cheza 9/7/11 kwa ufanisi ulio sawia, Tambwe anaweza cheza 9/10 kwa ufanisi ulio sawia, Chirwa anaweza Cheza 9/7 kwa ufanisi ulio sahihi.

Hebu nijie washambuliaji wa Simba wenye sifa hizi.
Au niletee goli la kichuya alilofunga akitokea kushoto?
Ni lini Ajib alicheza 7 akafanya vyema?
Au ni lini Mavugo kacheza 7?

Wachezaji wengi washambuliaji wa simba hawana sifa ya kuwa vilaka, hili linapunguza sana option ya mwalimu kuweza kufanya changes za kuzaa matokeo pale team inaposhindwa plan A.

Ninasema Yanga ndio klabu pekee yenye 'The most diversified attackers kuliko klabu yeyote' Hili humuwezesha hata Mwalimu kufanya rotation ya players.

2. Hebu tuzungumzie safu ya ulinzi.
Haji/Joshua
Kessy/Abdul
Yondani/Vicent
Bossou/Nadir.

Usimsahau kilaka wa kirundi anayeweza Cheza popote hapo nyuma.
Hebu angalia hapo.....
Sasa nyie mbona kila siku huku Bokungu.. Kule Zimbwe Jr. Hapa Mwanja.
Wanaobafilika ni akina Juurko/Lufunga.

Hivi mnawalinda milango wangapi.? Agban & Manyika tu?
Ona wenzanu wana walinda milango 3 wenye Ubora sawia kabisa... Yaani leo mwalimu akiamka anasema namtaka huyu awe golini.
Sasa ndugu zangu kuna Uchovu/Fatigue ambayo most of your players wanayo sasa.

Aina ya wachezaji wenu ni rahisi kwa mpinzani kuwakabili...... Maana kikosi kinabadilika kwa Juurko, Blagnon na Ajib tu.
Unapo kuwa na wachezaji wenye kuweza Cheza nafasi Tofauti kama Yanga unatengeneza mtihani mwingine kwa adui kuweza kujua jinsi ya kukukabili.

Ngoja niishie hapa tu. Ila nawaambia mtapata shida sana kubeba Ubingwa na aina ya depth ya wachezaji wenu hao.
 
Kuna ka ukweli fulani lakini bado ni mapema sana kufikia hitimisho. Nafasi yenye tatizo zaidi kwa simba ni golikipa ndio kama yuko peke yake tu vile, hapati ushindani sana. Tunaambiwa bokungu na mwanjali ni viraka, kama ilivyo kwa mwinyi, mavugo, mo, kichuya

Lakini yote kwa yote, Simba bado ndio kikosi bora hadi sasa kwa sababu;

1. Kinaongoza ligi kwa wastani mzuri wa pointi, magoli ya kufunga na kufungwa
2. Karibu mechi zote ball possession huwa inaongoza
3.Ndio huwa inatengeneza nafasi zaidi za kufunga na kukosa mabao mengi ya wazi
4. Wachezaji wote kuanzia kiungo hadi washambuliaji wanafunga magoli
5. Tumeona mara kadhaa hasa mwanzo wa ligi mavugo ns blagnon wakibadilisha nafasi na kucheza vzr tu

Issue ya kutokubadilisha wachezaji na nafasi ni ya mwalimu.Kama mbinu hiyo inampatia matokeo hata ungekuwa wewe usingesumbuka. Ni hadi pale unapoona mbinu unayotumia haifai ndio unaweza kutafuta mbadala, ndio maana nikasema ni mapema sana kuhitimisha hilo kwa kuwa imefungwa mara moja tena ktk dkk ya mwisho na ktk hali isiyotarajiwa, wa hiyo ni mapema kuhukumu mbinu za mwalimu kwa kupenda kutumia mshambuliaji mmoja.
 
Tunasubiri mvua kuona bajaji ya udongo itafika wapi
 
Hayo Ni Mawazo Yako Tu Uliyotoa Kichwani Kujifariji Lakini Kiuhalisia Ni False Hope Kutegemea Simba Kuwa Atakosa Ubingwa... Kama unayoyawaza Ni Sahihi Simba Asingekuwa Anaongoza Ligi..
Na Hao Yeboyebo Unaowasifu Wako nafasi Ya Pili na Wameachwa Kwa Points 5 clear na Hao unaowaona Wabovu....
Acha Kujifanya Commentator hiyo sio fani yako kabisa...
 
Hayo Ni Mawazo Yako Tu Uliyotoa Kichwani Kujifariji Lakini Kiuhalisia Ni False Hope Kutegemea Simba Kuwa Atakosa Ubingwa... Kama unayoyawaza Ni Sahihi Simba Asingekuwa Anaongoza Ligi..
Na Hao Yeboyebo Unaowasifu Wako nafasi Ya Pili na Wameachwa Kwa Points 5 clear na Hao unaowaona Wabovu....
Acha Kujifanya Commentator hiyo sio fani yako kabisa...
kama nakuona ulivyochangua viti vya sebule yako[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna ka ukweli fulani lakini bado ni mapema sana kufikia hitimisho. Nafasi yenye tatizo zaidi kwa simba ni golikipa ndio kama yuko peke yake tu vile, hapati ushindani sana. Tunaambiwa bokungu na mwanjali ni viraka, kama ilivyo kwa mwinyi, mavugo, mo, kichuya

Lakini yote kwa yote, Simba bado ndio kikosi bora hadi sasa kwa sababu;

1. Kinaongoza ligi kwa wastani mzuri wa pointi, magoli ya kufunga na kufungwa
2. Karibu mechi zote ball possession huwa inaongoza
3.Ndio huwa inatengeneza nafasi zaidi za kufunga na kukosa mabao mengi ya wazi
4. Wachezaji wote kuanzia kiungo hadi washambuliaji wanafunga magoli
5. Tumeona mara kadhaa hasa mwanzo wa ligi mavugo ns blagnon wakibadilisha nafasi na kucheza vzr tu

Issue ya kutokubadilisha wachezaji na nafasi ni ya mwalimu.Kama mbinu hiyo inampatia matokeo hata ungekuwa wewe usingesumbuka. Ni hadi pale unapoona mbinu unayotumia haifai ndio unaweza kutafuta mbadala, ndio maana nikasema ni mapema sana kuhitimisha hilo kwa kuwa imefungwa mara moja tena ktk dkk ya mwisho na ktk hali isiyotarajiwa, wa hiyo ni mapema kuhukumu mbinu za mwalimu kwa kupenda kutumia mshambuliaji mmoja.
kumbe ukwel hata ww umeuona yangq iko vzr sanaaa
 
Hayo Ni Mawazo Yako Tu Uliyotoa Kichwani Kujifariji Lakini Kiuhalisia Ni False Hope Kutegemea Simba Kuwa Atakosa Ubingwa... Kama unayoyawaza Ni Sahihi Simba Asingekuwa Anaongoza Ligi..
Na Hao Yeboyebo Unaowasifu Wako nafasi Ya Pili na Wameachwa Kwa Points 5 clear na Hao unaowaona Wabovu....
Acha Kujifanya Commentator hiyo sio fani yako kabisa...
Liverpool msimu wa 2008/9 alikuwa akiongoza ligi hadi mid season kwa point. Akiwa na point 27.
Mwisho wa ligi bingwa akawa man u.
 
Liverpool msimu wa 2008/9 alikuwa akiongoza ligi hadi mid season kwa point. Akiwa na point 27.
Mwisho wa ligi bingwa akawa man u.

Usiseme Uongo! Liverpool Hakuwahi Kuongoza Ligi Mpaka Mid Season! Uongozi Wa Liverpool Ulikuwa Katika Robo Ya Mwisho tu Ya Ligi Pale Liverpool Alipomfunga Manu Goli 4 - 1 na ndiyo Liverpool alikuwa Akiongoza Kwa Point 1 tu mpaka Pale Alipokuja Akatoka Draw ya 4 - 4 na Arsenal Ndiyo Man U akachukua Ubingwa..

Lakini Mpaka Mid Season Yaani End of Dece and early Janu Liverpool Hakuwahi Kuongoza Ligi, Bali Waliokuwa Wakipishana ni Arsenal na Man U..

Kwahiyo Kesi hii ni Tofauti na Ya Simba Ambaye Tokea Mwanzo Wa Msimu Anaongoza Ligi na Utamaliza Msimu Bado Anaoongoza! Ikumbukwe Kuwa Tumewaacha YeboYebo Kwa Points 5..
 
Vilaka ndio ndio nini?Maelezo yako Ni ya kishabiki zaidi badala ya uchambuzi WA kitaalamu
 
We jamaa lichawi......Simba alipotolewa Ubikira na African Lyon...sasa kaanza ukicheche...kila mtu anampapo uroda ...leo kampa Prisons...........bao mbili alafu Simba yeye kamaliza kimoja tu.
 
Hayo Ni Mawazo Yako Tu Uliyotoa Kichwani Kujifariji Lakini Kiuhalisia Ni False Hope Kutegemea Simba Kuwa Atakosa Ubingwa... Kama unayoyawaza Ni Sahihi Simba Asingekuwa Anaongoza Ligi..
Na Hao Yeboyebo Unaowasifu Wako nafasi Ya Pili na Wameachwa Kwa Points 5 clear na Hao unaowaona Wabovu....
Acha Kujifanya Commentator hiyo sio fani yako kabisa...

Wamchangani umejificha wapi
 
Usiseme Uongo! Liverpool Hakuwahi Kuongoza Ligi Mpaka Mid Season! Uongozi Wa Liverpool Ulikuwa Katika Robo Ya Mwisho tu Ya Ligi Pale Liverpool Alipomfunga Manu Goli 4 - 1 na ndiyo Liverpool alikuwa Akiongoza Kwa Point 1 tu mpaka Pale Alipokuja Akatoka Draw ya 4 - 4 na Arsenal Ndiyo Man U akachukua Ubingwa..

Lakini Mpaka Mid Season Yaani End of Dece and early Janu Liverpool Hakuwahi Kuongoza Ligi, Bali Waliokuwa Wakipishana ni Arsenal na Man U..

Kwahiyo Kesi hii ni Tofauti na Ya Simba Ambaye Tokea Mwanzo Wa Msimu Anaongoza Ligi na Utamaliza Msimu Bado Anaoongoza! Ikumbukwe Kuwa Tumewaacha YeboYebo Kwa Points 5..
We mbumbumbu sokoine unajua kilichotokea?
 
Back
Top Bottom