sababu kumi kwa nini nisiibe kazini??

sababu kumi kwa nini nisiibe kazini??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
wanandugu tumekuwa tukiangalia upande mmoja kwa mafisadi lakini lazima tuangalie uhalisia...j kwa nchii jinsi ilivyo kwa nini usiibe..personal sijaona maisha yanayoni atract kuishi bila mwizi...sasa hivi kila sehemu makazini...majuzi nesi kamuu mjazito kakosa sh 5000 embu tuangalie tatizo nini....na kwa nini 5000 inaweza ondoa maisha ya mtu na mwane...je jichunguze leo hii maisha yalivyo kwa nini usitafute maisha bora kwa kila mtanzania...mi nafikiriatu hawakumuelewa rais vizuri maisha bora ni wewe na akili yako hutoletewa maisha bora chumbani hata sikumoja...kaza buti popote penye nafasi washa usiogope weka future yako mengine baadae
 
wanandugu tumekuwa tukiangalia upande mmoja kwa mafisadi lakini lazima tuangalie uhalisia...j kwa nchii jinsi ilivyo kwa nini usiibe..personal sijaona maisha yanayoni atract kuishi bila mwizi...sasa hivi kila sehemu makazini...majuzi nesi kamuu mjazito kakosa sh 5000 embu tuangalie tatizo nini....na kwa nini 5000 inaweza ondoa maisha ya mtu na mwane...je jichunguze leo hii maisha yalivyo kwa nini usitafute maisha bora kwa kila mtanzania...mi nafikiriatu hawakumuelewa rais vizuri maisha bora ni wewe na akili yako hutoletewa maisha bora chumbani hata sikumoja...kaza buti popote penye nafasi washa usiogope weka future yako mengine baadae

wote tukiwa na mawazo hayo.hii nchi itakuwaje?????
Baba likiwa fisadi na mama nae awe fisadi?watoto wataambulia nini?
 
Mmmh hii imkaa vibaya. Lakini ss tufanyeje? Wachukue tuu na ss tuwaangalie
Huku wake zetu na watt wetu wakiendelea kufa mahospitalini na kweye ajali za mabasi
Yenye cheses za malori?

Nauliza.
 
wote tukiwa na mawazo hayo.hii nchi itakuwaje?????
Baba likiwa fisadi na mama nae awe fisadi?watoto wataambulia nini?

sio kuwa wengi wameshakuwa na mawazo kama hayo pengine wewe na mimi tu bado hatujawa corrupt?

issue za ufisadi zinaanzia chini kabisa kuanzia ngazi ya kaya, mitaa, kata, ...........

alichosema jamaa ni kuwa tunatakiwa kufumua kila kitu, kuwasema hawa watu wachache wavumao haisaidii.Niamini kuna mafisadi wengi sana nchii wasiojulikana na wanaringia system.

Nina waaalimu watatu ninawafahamu wanapokea mishahara mitatu mitatu!......maboss wao wanajua

System mbovu mkuu! imeoza RA,EL,CHENGE Mkapa sio wa kwanza na hawatakuwa wa mwisho!

Ila ndugu yangu muanzisha thread naamini kwa mawazo yako utaongeza vifo vya watu wengi, ngau umesema ukweli, ila we need to remedy this issue for our future generation
 
wanandugu tumekuwa tukiangalia upande mmoja kwa mafisadi lakini lazima tuangalie uhalisia...j kwa nchii jinsi ilivyo kwa nini usiibe..personal sijaona maisha yanayoni atract kuishi bila mwizi...sasa hivi kila sehemu makazini...majuzi nesi kamuu mjazito kakosa sh 5000 embu tuangalie tatizo nini....na kwa nini 5000 inaweza ondoa maisha ya mtu na mwane...je jichunguze leo hii maisha yalivyo kwa nini usitafute maisha bora kwa kila mtanzania...mi nafikiriatu hawakumuelewa rais vizuri maisha bora ni wewe na akili yako hutoletewa maisha bora chumbani hata sikumoja...kaza buti popote penye nafasi washa usiogope weka future yako mengine baadae

Mbona huja taja hizo sababu 10? maana kichwa cha habari hakiendani na content.
 
wanandugu tumekuwa tukiangalia upande mmoja kwa mafisadi lakini lazima tuangalie uhalisia...j kwa nchii jinsi ilivyo kwa nini usiibe..personal sijaona maisha yanayoni atract kuishi bila mwizi...sasa hivi kila sehemu makazini...majuzi nesi kamuu mjazito kakosa sh 5000 embu tuangalie tatizo nini....na kwa nini 5000 inaweza ondoa maisha ya mtu na mwane...je jichunguze leo hii maisha yalivyo kwa nini usitafute maisha bora kwa kila mtanzania...mi nafikiriatu hawakumuelewa rais vizuri maisha bora ni wewe na akili yako hutoletewa maisha bora chumbani hata sikumoja...kaza buti popote penye nafasi washa usiogope weka future yako mengine baadae
Kama unataka tukupe sababu, basi naanza na hizi hapa....
1. Unalipwa mshahara.... Kama haukutoshi ungegoma kusaini mkataba
2. Dini yako haikuruhusu kuiba.........
3. Sheria za nchi yako zinakataza wizi.............
4. Ukikamatwa utafungwa........... na nyie vijizi vidogovidogo ndo tunawatwanga mvua za kutosha..............
5. ...............
6. .................
 
Back
Top Bottom