Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe juu yenu wakuu
Hizi ni sababu ambazo zimenifanya na zinanifanya nisilipende kabisa jukwaa la siasa
A) wachangiaji Wa jukwaa la siasa ni wachumia tumbo. Kwanini nasema hivyo kule kuna watu nahisi wametumwa kuja kusifia na kuponda, kuna watu wao ni wazee Wa kusifia tu na kuna wengine wao ni wazee Wa kuponda na kupinga haijalish kama maada ni nzur au mbaya
B) wachangiaji wamejaa mihemuko. Kwanini nasema hivyo wachangiaji wengi huchangia bila kujua maada inahusu nini na inatakiwa kuchangia nini, unakuta mtu kakoment ( aya kachukue buku saba yako)
(Ndo mbowe alivyo kutuma)
Unakuta mtu ana hoja ya msingi lakin akiisema anambiwa (nenden kwanza mkajenge ofis ya chama chenu pale ufipa ndo uje hapa) au unakuta mtu anaitwa nyumbu au lofa
C. Kule unaweza pata ugonjwa Wa moyo bure. Kwanini nasema hivyo ukikaa lile jukwaa unaweza jinyonga maana utakuna na kashifa nyingi za watu kama akina lowasa, ngeleja, chenge na wengine ambao wamepiga hela za selikar alafu wewe huna hata mia.
Mara uchumi umeshuka Mara umepanda Mara sijui bashite Mara sijui nini Mara dolla imeshuka Mara sijui ndege imekufa, yaan kuna vitu vinaweza kukufanya ukafa
D. Unaweza zeeka kabla ya umri wako kwanini nasema hivyo maana utaanza kuichukia nchi yako na kuona Mara mia ni bora usingezaliwa tz
Nawasilisha sababu zingine nitaendelea kuzindondosha hapa
LONDON BOY
Hizi ni sababu ambazo zimenifanya na zinanifanya nisilipende kabisa jukwaa la siasa
A) wachangiaji Wa jukwaa la siasa ni wachumia tumbo. Kwanini nasema hivyo kule kuna watu nahisi wametumwa kuja kusifia na kuponda, kuna watu wao ni wazee Wa kusifia tu na kuna wengine wao ni wazee Wa kuponda na kupinga haijalish kama maada ni nzur au mbaya
B) wachangiaji wamejaa mihemuko. Kwanini nasema hivyo wachangiaji wengi huchangia bila kujua maada inahusu nini na inatakiwa kuchangia nini, unakuta mtu kakoment ( aya kachukue buku saba yako)
(Ndo mbowe alivyo kutuma)
Unakuta mtu ana hoja ya msingi lakin akiisema anambiwa (nenden kwanza mkajenge ofis ya chama chenu pale ufipa ndo uje hapa) au unakuta mtu anaitwa nyumbu au lofa
C. Kule unaweza pata ugonjwa Wa moyo bure. Kwanini nasema hivyo ukikaa lile jukwaa unaweza jinyonga maana utakuna na kashifa nyingi za watu kama akina lowasa, ngeleja, chenge na wengine ambao wamepiga hela za selikar alafu wewe huna hata mia.
Mara uchumi umeshuka Mara umepanda Mara sijui bashite Mara sijui nini Mara dolla imeshuka Mara sijui ndege imekufa, yaan kuna vitu vinaweza kukufanya ukafa
D. Unaweza zeeka kabla ya umri wako kwanini nasema hivyo maana utaanza kuichukia nchi yako na kuona Mara mia ni bora usingezaliwa tz
Nawasilisha sababu zingine nitaendelea kuzindondosha hapa
LONDON BOY