Kaaya10
Member
- Dec 11, 2017
- 37
- 53
Hizi ndizo sababu kuu tatu za kuweka akiba
Dharura. Tunaweka akiba kwa sababu tunajua kuna dharura itatokea na utahitajika kuwa na akiba, dharura sio kwamba hazijulikani hapana, usichojua ni itakuja lini na kwa kiwango gani. Kuna watu wakipata dharura na wana akiba awaitumii eti kwa sababu ni akiba, ujue hujui sababu ya kuweka akiba.
Manunuzi/malipo. Tunaweka akiba kwa ajili ya kufanya manunuzi ya vitu mbalimbali na malipo ikiwepo ada za shule, vifaa vya nyumbani, ardhi na vitu vngine vingi.
Kukuza utajiri/kipato. Hapa ni pale unapoweka vitu akiba lakini katika hali ya kuzalisha. Unanunua shamba au nyumba ambayo baadae itapanda bei au utakua unapata kodi na kukuza kipato chako. Unaweka pesa benki kwa riba au unanunua hisa za makampuni ili upate faida baada ya kipindi Fulani cha muda.
Hizi ndizo sababu kuu tatu za kuweka akiba, ongezea za kwako
Dharura. Tunaweka akiba kwa sababu tunajua kuna dharura itatokea na utahitajika kuwa na akiba, dharura sio kwamba hazijulikani hapana, usichojua ni itakuja lini na kwa kiwango gani. Kuna watu wakipata dharura na wana akiba awaitumii eti kwa sababu ni akiba, ujue hujui sababu ya kuweka akiba.
Manunuzi/malipo. Tunaweka akiba kwa ajili ya kufanya manunuzi ya vitu mbalimbali na malipo ikiwepo ada za shule, vifaa vya nyumbani, ardhi na vitu vngine vingi.
Kukuza utajiri/kipato. Hapa ni pale unapoweka vitu akiba lakini katika hali ya kuzalisha. Unanunua shamba au nyumba ambayo baadae itapanda bei au utakua unapata kodi na kukuza kipato chako. Unaweka pesa benki kwa riba au unanunua hisa za makampuni ili upate faida baada ya kipindi Fulani cha muda.
Hizi ndizo sababu kuu tatu za kuweka akiba, ongezea za kwako