LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 122
“COMFORT ZONE”
sijui niiweke vipi hii kwa kiswahili katika neno moja na likaleta maana.
“Anga/wigo/dunia ya mridhiko”
(Kama sijakosea).
kama hujawahi Kijiuliza Kama ulipo panakutosheleza Au la Basi upo ndani ya “comfort zone”
kama unataka maendeleo binafsi na unakwepa mabadiliko basi upo kwenye “comfort zone”
kama utaishi/umekubali kuishi kwenye level ile ile ya kiuchumi kama familia uliyotokea basi upo kwenye “comfort zone”
kama unadhani huwezi badili mfumo wa maisha Basi umo mule mule.
mfano hai ni Mimi binafsi.
Nilikataa kubaki kwenye Comfort zone.
nilisomea Multimedia lakini Leo nafanya kitu nje ya ndogo yangu.
And my life change ever since.
lakini sababu ni moja tu
Nilitoka kwenye “Comfort zone.”
find your dream in uncomfortable zone.
Always pays big times.
sijui niiweke vipi hii kwa kiswahili katika neno moja na likaleta maana.
“Anga/wigo/dunia ya mridhiko”
(Kama sijakosea).
kama hujawahi Kijiuliza Kama ulipo panakutosheleza Au la Basi upo ndani ya “comfort zone”
kama unataka maendeleo binafsi na unakwepa mabadiliko basi upo kwenye “comfort zone”
kama utaishi/umekubali kuishi kwenye level ile ile ya kiuchumi kama familia uliyotokea basi upo kwenye “comfort zone”
kama unadhani huwezi badili mfumo wa maisha Basi umo mule mule.
mfano hai ni Mimi binafsi.
Nilikataa kubaki kwenye Comfort zone.
nilisomea Multimedia lakini Leo nafanya kitu nje ya ndogo yangu.
And my life change ever since.
lakini sababu ni moja tu
Nilitoka kwenye “Comfort zone.”
find your dream in uncomfortable zone.
Always pays big times.