Uchaguzi 2020 Sababu kwanini CCM itashinda kwa kishindo

Yaani kuna nyuzi nyingine ukiziina unajua kabisa huyu aliyeandika ni mchumia tumbo,kanjanja au mtu furani hivi aina ya Firauni( kibri). Huwa nawalaani sana watu kama hawa wanafiki Mungu awaongezee adhabu !
Hilo ni dua la kuku, huna maamlaka ya lumlaani mwenzako na ingekuwa hivyo basi mwenyekiti mbowe angekuwa ameshalaani na amekufa kwa anayowafanyia wanachama, ruzuku ya chama inaishia tumboni kwake
 
Ni kweli. Tumemuelewa kuwa ni mbabe, mtekaji, muuaji na mbaguzi.


Lazima akosolewe. Maana amejikita ktk maendeleo ya vitu na siyo watu.
Kujengewa vituo vya afya ni kosa?, kujengewa barabara ni kosa? Inahitaji mtu awe na degree ya ujinga na urofa kuwaelewa CHADEMA,
 
Na mwaka huu watasingizia wameibiwa kura namuhurumia Membe mikutano yake haina hata watu anayoyaongea ni sawa na aliyerukwa na akili
 
Hilo ni dua la kuku, huna maamlaka ya lumlaani mwenzako na ingekuwa hivyo basi mwenyekiti mbowe angekuwa ameshalaani na amekufa kwa anayowafanyia wanachama, ruzuku ya chama inaishia tumboni kwake
Mimi sijasema adhurike ila Mungu ndiyo atajua amuadhibu vipi na lini katika mazingira gani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujengewa vituo vya afya ni kosa?, kujengewa barabara ni kosa?
Hatujengewi. Anajenga kwa Kodi zetu. John hatoi msaad kwa watanzania bali fedha za watanzania ndiyo zonajenga na kununua kila kinachofanywa na serikali.

Punguza ujinga kwa kutumia japo robo ya akili yako.
 
mungu alisha kataa tangu siku 4 7 zilizo pita na ilisha kua,
 
Swali fikirishi, je ushindi wa mezani upo? na kama upo huwa unakuwaje
 
Hatujengewi. Anajenga kwa Kodi zetu. John hatoi msaad kwa watanzania bali fedha za watanzania ndiyo zonajenga na kununua kila kinachofanywa na serikali.

Punguza ujinga kwa kutumia japo robo ya akili yako.
Mimi nakuona mjinga zaidi! Ukiona hivyo ujue kodi zetu zinasimamiwa vizuri otherwise angeamua kuzitafuna hata hivyo vituo vya afya usingeviona. Jiulize kwanini CHADEMA wanapata mamilioni lakini hakuna hata ofisi ya Chumba kimoja unadhani Magufuli angekuwa kama Mbowe ungeona hata kituo hata kimoja?
 
Na jambo gumu kuliko yote kwa wapinzani mwaka huu hakuna UKAWA

Hivyo kura za wapinzani zitagawanyika kwa CDM , CUF , ICT na NCCR

Wabunge watakao rudi ni robo ya wabunge wa upinzani wa bunge lililopita

CDM imeua upinzani Tanzania 2015 waliwakusanya wapinzani wenzao kisha wakawamwaga mwaka hu mtavuna mlichopanda
 
CCM mnahangaika sana,

kura yangu ni LISSU.

Wauaji, watekaj, wasiojulikan,propaganda kam hiz, ukosef wa ajira, biashara kufa, watishia kuvunja amani wasipochaguliw,
kitaelewek mwak huu.
Watu wengi akili zenu zimejifinya vibaya..kuna upofu mko nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…