Maisha ya ndoa hayaangalii elimu alonayo mtu,cheo, umbo ama sura!
Sidhani kama wazazi wetu walikuwa na hizo elimu ni wachache sana, lakini wameweza kutulea na kuvumialia changamoto zooote za mke/mume.
Tumekuwa tukijiwekea matarajio fulani kwa watu ambao tunataka wawe wenzi wetu, kitu ambacho hutuumiza baada ya ndoa. Kile ulichotarajia unakuta sicho, na wakati huo uko kwenye ndoa tayari. Hicho ndo chanzo cha mifarakano kwenye ndoa nyingi.
Mke au mume wa maisha yako yupo ila nikumuomba Mungu sana akupe wa kufanana nawe