MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,303
Toyota IST inatambuliwa sehemu nyingi ulimwenguni kwa kuwa gari ndogo inayo mtosha kila mtu.
Matairi yake madogo, pamoja na engine yake inayotumia mafuta kidogo, humfanya mtumiaji
Kutokua na hofu hata awapo kwenye barabara yenye msongamano.
Si hayo tu, bali Toyota IST, muundo wake wa kipekee na wepesi wake humfanya mtumiaji kuwa comfortable zaidi.
SPARE ZAKE:
Kitu kingine kikubwa kinachoifanya Toyota Ist kuwa ni gari pendwa kwa watu wa kila aina, ni wepesi wa spare upatikanaji wa spare zake, tena kwa gharama nafuu kabisa.
UTUMIAJI WAKE WA MAFUTA:
Toyota Ist yenye Cubic Centimeters (CC )
1,290 (1300) Cc, inaweza tembea wastani wa kilometa 18 kwa lita ya petrol. (18km/L)
BEI ZA TOYOTA IST:
Bei za Toyota Ist, ziko tofauti tofauti kulingana na mwaka, milleage pamoja na Cubic Centimeter (cc) zake.
Bei ya chini Ist ni kuanzia Tshs 10,500,000 (Mpaka kuwa barabarani)
Lakini Sasa sisi ecarstanzania / s. Enterprises tunakuletea punguzo kabambe, litakalo kwisha mwishoni mwa mwezi huu wa nane, yaani tarehe 30th | 08 | 2018
Kwa Tshs 10,000,000/= (Millioni kumi tu)
Badala ya 10,500,000/= unaweza kumiliki Ist yako.
Na good news ni kwamba, tunakuwezesha kuweza kulipia kwa instalment.
Ukiwa na swali lolote kuhusiana na magari, au ukiwa unahitaji ushaur wa kitaalamu kuhusiana na gari/magari gani ya kununua, karibu inbox/pm niweze kukusaidia kukupa ushauri wa kitaalamu. ( Hata kama hutanunua kwangu kwa sababu moja ama nyingine).
Sent using Jamii Forums mobile app
Matairi yake madogo, pamoja na engine yake inayotumia mafuta kidogo, humfanya mtumiaji
Kutokua na hofu hata awapo kwenye barabara yenye msongamano.
Si hayo tu, bali Toyota IST, muundo wake wa kipekee na wepesi wake humfanya mtumiaji kuwa comfortable zaidi.
SPARE ZAKE:
Kitu kingine kikubwa kinachoifanya Toyota Ist kuwa ni gari pendwa kwa watu wa kila aina, ni wepesi wa spare upatikanaji wa spare zake, tena kwa gharama nafuu kabisa.
UTUMIAJI WAKE WA MAFUTA:
Toyota Ist yenye Cubic Centimeters (CC )
1,290 (1300) Cc, inaweza tembea wastani wa kilometa 18 kwa lita ya petrol. (18km/L)
BEI ZA TOYOTA IST:
Bei za Toyota Ist, ziko tofauti tofauti kulingana na mwaka, milleage pamoja na Cubic Centimeter (cc) zake.
Bei ya chini Ist ni kuanzia Tshs 10,500,000 (Mpaka kuwa barabarani)
Lakini Sasa sisi ecarstanzania / s. Enterprises tunakuletea punguzo kabambe, litakalo kwisha mwishoni mwa mwezi huu wa nane, yaani tarehe 30th | 08 | 2018
Kwa Tshs 10,000,000/= (Millioni kumi tu)
Badala ya 10,500,000/= unaweza kumiliki Ist yako.
Na good news ni kwamba, tunakuwezesha kuweza kulipia kwa instalment.
Ukiwa na swali lolote kuhusiana na magari, au ukiwa unahitaji ushaur wa kitaalamu kuhusiana na gari/magari gani ya kununua, karibu inbox/pm niweze kukusaidia kukupa ushauri wa kitaalamu. ( Hata kama hutanunua kwangu kwa sababu moja ama nyingine).
Sent using Jamii Forums mobile app