Kweli inabidi aiangalie vizuri hiyo gari me mwenyewe mafuta ya 40 naweza tembea km zaidi ya 120 na hiyo gari ya c.f. 2400Mkuu unatumia IST au crown hata Mark X haili mafuta kiasi hicho maana kwa hesabu za haraka 1ltr unatembea 4.5km duu! Sasa kama! Hata V8 madereva tunawakokotolea 1 ltr to 7km
Ng'weshu waashesha😀😀 "kicheni Pati" ni Mbwai kumbeIle miaka mitano ya kwanza ya Kikwete R4 zilikuwa habari ya mjini mpaka ziliitwa “kitchen party”.
😀😀😀watu wamesahau madaNaona ndugu watazamaji mnasifia kuziona kwenye foleni, ina maana hiyo ofa hamuioni ama?
Mtoa mada ili nikope/kulipia kwa installment inabidi niwe na vigezo vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hangwe kumhina mwaiNg'weshu waashesha😀😀 "kicheni Pati" ni Mbwai kumbe
Kama IST unaiita mashine v8 itaitwaje? Wakati mwingine uwe serious nduguNINA VITZ CLAVIA 2003 NAWEZA BADILISHA NIONGEZE PESA ILI NINUNUE HII MASHINE?
Hayo magari yanayokunywa mafuta kanunueni nyie wenye pesa za kuchezeaKama Ist unaiita mashine v8 itaitwaje? Wakat mwingine uwe serious ndugu
Usijipe moyo kwa kufitini wenzio hata kama unatumia baby walker jipe moyo tuHayo magari yanayokunywa mafuta kanunueni nyie wenye pesa za kuchezea
Ndio nini hikiHangwe kumhina mwai