Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
๐จ๐ป๐ฎ๐ท๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ป๐ถ ๐๐๐ถ๐ฝ๐ฒ๐ป๐ฑ๐ฒ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐๐ถ๐ฟ๐ฝ๐ผ๐ฑ๐
Matumizi ya Airpods za wireless na Earphones || headphones za waya nchini Tanzania yamekua makubwa sana kwa watumiaji wengi.
ukiwa unatembea njiani utaweza kukutana kati ya watu 10 watu 7 wamevaa Earpods masikioni wakisiliza nyimbo au kitu chengine chochote.
Unajua matumizi ya kutumia Airpods || headphones kuweka masikioni ni hatari sana kwa afya yako ๐?? Najua wengi hawajui hii leo nitakujuza kwa ufupi tu madhara ya Earpods kwenye masikio yako.
Airpods zimekua zikitengenezwa za miundo tofauti tofauti kwa ajili ya kusaidia unapoweka sikioni kuweza kushikika vizuri masikioni lakini njia hizo utumika kuumiza masikio yako.
Mara nyingi Airpods zinamuathiri kwa sababu tatu ambayo ni;
๐ฏhow they're placed (jinsi unavyoweka masikioni)
๐ฏ how they fit (jinsi zinavyofaa)
๐ฏ how long you wearing (unavaa kwa muda gani )
๐ญ Kosa kubwa kwanza watu wanafanya ni kuzitumbukiza kwa ndani zaidi Airpods ambazo kutokana na muundo wake inakupelekea kupelekea mitetemeko kwenye masikio usababisha kichwa kuuma, maumivu ya masikio na kuhalibu ngoma ya sikio lako.
๐ญ Pili wengi tunatumia Airpods bila kujua kama inafaa kwenye sikio lako au lah wengi wanatumia Airpods sio size lake kwenye sikio lake na kukupelekea upate maumivu ya s wakati umeziweka sikioni kwako na kuzikandamiza kwa ndani kwa kuwa sio size yako kupelekea maumivu kwenye sikio.
๐ญ Kutumia Airpods kwa muda mrefu pia ni hatari kwa afya yako unakuta mtu anatumia Airpods dakika zaidi ya 90 ziko masikioni kusababisha maumivu. Cartilage za masikio yetu hazijawekwa ili kushirikia kitu kwa muda mrefu sana hapana.
Hivyo kutumia Airpods || headphones kwa muda mrefu upelekea kuumiza masikio yako na kuyaua kabisa hivyo jihadhari kutumia Airpods muda mrefu.
Matumizi ya Airpods za wireless na Earphones || headphones za waya nchini Tanzania yamekua makubwa sana kwa watumiaji wengi.
ukiwa unatembea njiani utaweza kukutana kati ya watu 10 watu 7 wamevaa Earpods masikioni wakisiliza nyimbo au kitu chengine chochote.
Unajua matumizi ya kutumia Airpods || headphones kuweka masikioni ni hatari sana kwa afya yako ๐?? Najua wengi hawajui hii leo nitakujuza kwa ufupi tu madhara ya Earpods kwenye masikio yako.
Airpods zimekua zikitengenezwa za miundo tofauti tofauti kwa ajili ya kusaidia unapoweka sikioni kuweza kushikika vizuri masikioni lakini njia hizo utumika kuumiza masikio yako.
Mara nyingi Airpods zinamuathiri kwa sababu tatu ambayo ni;
๐ฏhow they're placed (jinsi unavyoweka masikioni)
๐ฏ how they fit (jinsi zinavyofaa)
๐ฏ how long you wearing (unavaa kwa muda gani )
๐ญ Kosa kubwa kwanza watu wanafanya ni kuzitumbukiza kwa ndani zaidi Airpods ambazo kutokana na muundo wake inakupelekea kupelekea mitetemeko kwenye masikio usababisha kichwa kuuma, maumivu ya masikio na kuhalibu ngoma ya sikio lako.
๐ญ Pili wengi tunatumia Airpods bila kujua kama inafaa kwenye sikio lako au lah wengi wanatumia Airpods sio size lake kwenye sikio lake na kukupelekea upate maumivu ya s wakati umeziweka sikioni kwako na kuzikandamiza kwa ndani kwa kuwa sio size yako kupelekea maumivu kwenye sikio.
๐ญ Kutumia Airpods kwa muda mrefu pia ni hatari kwa afya yako unakuta mtu anatumia Airpods dakika zaidi ya 90 ziko masikioni kusababisha maumivu. Cartilage za masikio yetu hazijawekwa ili kushirikia kitu kwa muda mrefu sana hapana.
Hivyo kutumia Airpods || headphones kwa muda mrefu upelekea kuumiza masikio yako na kuyaua kabisa hivyo jihadhari kutumia Airpods muda mrefu.