Sababu moja wapo MANGI kuwakubali Wamisionari Kilimanjaro

Sababu moja wapo MANGI kuwakubali Wamisionari Kilimanjaro

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Walifika kwa kupitia bandari ya Mombasa.Kisha wapagazi waliwasaidia kubeba mizigo yao na safari kuendelea, wakati huo kulikuwa hakuna namna yeyote ya usafiri kutoka Dar kwenda Kilimanjaro.
KUna kisa kimoja cha Mchingaji Gutman wa Ujerumani alipokuwa njiani kutokea MOmbasa walikutana na Nyumbu wakali.
Nyumbu waliwazingira, wapagazi hivyo walitupa mizigo yao na kukimbilia kupanda juu ya miti.
Mchungaji alibaki kasimama peke yake akiwa amezingirwa na Nyumbu,,,,,
Hata hivyo alikuwa na biblia yake kwenye mkoba, akaitoa na kuinyanyua juu,,,,Nyumbu wote wakaanza kutawanyika mmoja baada ya mwingine,,,,,safari ikaendelea.
Baada ya kufika Kilimanjaro wapagazi wakasimulia kisa cha kuzingirwa na nYumbu kwa mfalme(Mangi)wa wakati huo...wakielezea kwamba Mchungaji Gutman ana hirizi kubwa nyeusi yenye nguvu sana ambayo itakusaidia kwenye vita na kweli Mangi akaelewa na kuruhusu hirizi hiyo itumike ndio kisa na maana wamisionari walipokelewa kwa ukarimu sana Kilimanjaro.
Na pia hirizi hiyo ikatafsiriwa kwa lugha ya kichaga na mpaka leo nakala zipo.
 
Mangi aliona mbali sanaa, ndo maana miaka kadhaa ilopita mkoa wa Kilimanjaro na viunga vyake vilikuwa na shule nyingi nzuri. Kwa miaka ya sasa mikoa mingi imesha jipambanua kimaendeleo
 
Walifika kwa kupitia bandari ya Mombasa.Kisha wapagazi waliwasaidia kubeba mizigo yao na safari kuendelea, wakati huo kulikuwa hakuna namna yeyote ya usafiri kutoka Dar kwenda Kilimanjaro.
KUna kisa kimoja cha Mchingaji Gutman wa Ujerumani alipokuwa njiani kutokea MOmbasa walikutana na Nyumbu wakali.
Nyumbu waliwazingira, wapagazi hivyo walitupa mizigo yao na kukimbilia kupanda juu ya miti.
Mchungaji alibaki kasimama peke yake akiwa amezingirwa na Nyumbu,,,,,
Hata hivyo alikuwa na biblia yake kwenye mkoba, akaitoa na kuinyanyua juu,,,,Nyumbu wote wakaanza kutawanyika mmoja baada ya mwingine,,,,,safari ikaendelea.
Baada ya kufika Kilimanjaro wapagazi wakasimulia kisa cha kuzingirwa na nYumbu kwa mfalme(Mangi)wa wakati huo...wakielezea kwamba Mchungaji Gutman ana hirizi kubwa nyeusi yenye nguvu sana ambayo itakusaidia kwenye vita na kweli Mangi akaelewa na kuruhusu hirizi hiyo itumike ndio kisa na maana wamisionari walipokelewa kwa ukarimu sana Kilimanjaro.
Na pia hirizi hiyo ikatafsiriwa kwa lugha ya kichaga na mpaka leo nakala zipo.
We bwege sisi siyo mabwege wenzio
 
Wale wa pwani waliwapuuzilia wamisionari wakanyooshea njia ya kwenda bara wakabaki na abrakadabra za waarabu. wa bara wakaneemeka na ujio wa wamisionari na wapwani wakapumbazika kwa abrakadabra za kiarabu mpaka leo matokeo yanaonekana
 
Usema alinyanyua Biblia sasa mbona unasema alikuwa na hirizi?
Kwa kukusaidia,,,,,,,,,,,,,,,,,
Wakati huo wapagazi hawakuelewa biblia ni nini.....hivyo kwa ufahamu wao walidhani ni hirizi.....
 
Nimefika hilo eneo la Mangi Sina na kanisa la kwanza la Mjerumani bado lipo toka miaka hiyo walitega maji na umeme pia bara bara ya lami toka bara bara kuu ya Arusha/Moshi mpaka hapo Kanisani ipo vizuri tu..
 
Back
Top Bottom