Sababu ni kuwa introvert au network kuwa fupi?

Sababu ni kuwa introvert au network kuwa fupi?

Cvez

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2018
Posts
4,405
Reaction score
13,411
Jana usiku mida ya saa tatu usiku natoka kwenye mizunguko yangu ya siku kwenye daladala pembeni yangu alikua amekaa kijana rika moja tu na mimi. Mkononi kashikilia smart phone yake anachati macho hayana pazia, ilikua kila baada ya sekunde kadhaa messages zinaingia kuanzia texts za kawaida hadi WhatsApp. Messages kutoka kwa wadada na wakaka pia zikiwa na viemoji mbali.

Nikaanza kujitafakari na mimi text zangu za mwisho ilikua zile za kutakiana heri ya mwaka mpya tena zina blue ticks na response rate ni chini ya 30% text za kawaida ni kutoka Tigo kukujulisha promotion zao. Nimetafakari jibu nikapata network ya watu wangu wapo busy kama mimi au ni introvert character ndio chanzo.
 
Ukiwa busy kugain something kila wakati, huwezi kua kama huyo boya uliekua umekaa nae pembeni.

Big brain matter more.
 
Ukiwa busy kugain something kila wakati, huwezi kua kama huyo boya uliekua umekaa nae pembeni.

Big brain matter more.
Huenda ikawa kweli.
 
Suriya , kwanini umemwita 'boya'?
Umetumia vigezo gani?
Kutumiwa sms mra nyingi zaidi labda.. Ni wivu tu.
Introverts tunatamani sana na sie tue hvo..unapata mtu au watu wa kubadirishana nae mawazo. Basi tu silka yetu ni ngumu sana kuendana na mazingira.
Upweke unakula mwili taratibu mwisho unaanza chukia wengine wenye watu wa kupiga nao stori.
Si unajua kila mtu anatamani kua na mtu wake..ndio nature ya mwili
 
Ni ngumu kueleza why.
Lakini majukumu na kuwajibika hufanya kufikiri mala kwa mala.
Kuchati na watu hivo ni rahis ukiwa umetulia home, Lakin sio kwenye msongamo wa watu mahali popote.
Amesema alikuwa kwenye daladala right?. Vipi kama huyo naye baada ya shughuli zake akiwa kwenye daladala ndio akaamua aanze kujibu msg ambazo pengine ni alitumiwa tangu asubuhi?

Okay my point was, mtu kuwa bize na simu kuchati na kila kitu haihusiani na kuwa bize au kuwa free.
Kuna mtu anapenda kuchat hata awe bize kiasi gani akipata muda wa kupumzika tuu anaelekea simu ilipo na kuanza kuchat. Na anaweza akawa ana gain kipato kikubwa sana ukilinganisha na aliye bize hata muda wa kuchat hana.

Mtoa mada amesema kwake msg zinaonesha blue ticks hajapata response yoyote, ikiwa inamaanisha yeye ndio alikuwa wa mwisho kutuma msg na wamesoma hawajamjibu. Unaweza kuelewa kwamba sio kwamba hapendi kuchati Bali ni watu alionao kwenye simu hawana shauku ya kuchat nae.
 
bahati mbaya huyo jamaa alikuwa ana-chat mambo yasiyo na umuhimu wala ulazima, lkn mtoa mada ukitafutwa/ukimtafuta mtu bc kuna jambo la umuhimu na lazima.
 
Amesema alikuwa kwenye daladala right?. Vipi kama huyo naye baada ya shughuli zake akiwa kwenye daladala ndio akaamua aanze kujibu msg ambazo pengine ni alitumiwa tangu asubuhi?

Okay my point was, mtu kuwa bize na simu kuchati na kila kitu haihusiani na kuwa bize au kuwa free.
Kuna mtu anapenda kuchat hata awe bize kiasi gani akipata muda wa kupumzika tuu anaelekea simu ilipo na kuanza kuchat. Na anaweza akawa ana gain kipato kikubwa sana ukilinganisha na aliye bize hata muda wa kuchat hana.

Mtoa mada amesema kwake msg zinaonesha blue ticks hajapata response yoyote, ikiwa inamaanisha yeye ndio alikuwa wa mwisho kutuma msg na wamesoma hawajamjibu. Unaweza kuelewa kwamba sio kwamba hapendi kuchati Bali ni watu alionao kwenye simu hawana shauku ya kuchat nae.
Nimekuelewa,
Lakin mm nime judge hivo, baada ya mtoa mada kusema, muhusika alikua akichat kwa emoji's kwa kila conversation.
Sijui kama nimewahi kuchat inshu za kioffice kwa emoji
 
Amesema alikuwa kwenye daladala right?. Vipi kama huyo naye baada ya shughuli zake akiwa kwenye daladala ndio akaamua aanze kujibu msg ambazo pengine ni alitumiwa tangu asubuhi?

Okay my point was, mtu kuwa bize na simu kuchati na kila kitu haihusiani na kuwa bize au kuwa free.
Kuna mtu anapenda kuchat hata awe bize kiasi gani akipata muda wa kupumzika tuu anaelekea simu ilipo na kuanza kuchat. Na anaweza akawa ana gain kipato kikubwa sana ukilinganisha na aliye bize hata muda wa kuchat hana.

Mtoa mada amesema kwake msg zinaonesha blue ticks hajapata response yoyote, ikiwa inamaanisha yeye ndio alikuwa wa mwisho kutuma msg na wamesoma hawajamjibu. Unaweza kuelewa kwamba sio kwamba hapendi kuchati Bali ni watu alionao kwenye simu hawana shauku ya kuchat nae.
bahati mbaya huyo jamaa alikuwa ana-chat mambo yasiyo na umuhimu wala ulazima, lkn mtoa mada ukitafutwa/ukimtafuta mtu bc kuna jambo la umuhimu na lazima.
Sure.☝️
 
Kutumiwa sms mra nyingi zaidi labda.. Ni wivu tu.
Introverts tunatamani sana na sie tue hvo..unapata mtu au watu wa kubadirishana nae mawazo. Basi tu silka yetu ni ngumu sana kuendana na mazingira.
Upweke unakula mwili taratibu mwisho unaanza chukia wengine wenye watu wa kupiga nao stori.
Si unajua kila mtu anatamani kua na mtu wake..ndio nature ya mwili
Ni kweli. Mimi naona kuchati hata 24 hrs haina tabu. Kama haikuzuii kufanya mambo ya msingi
 
Kutumiwa sms mra nyingi zaidi labda.. Ni wivu tu.
Introverts tunatamani sana na sie tue hvo..unapata mtu au watu wa kubadirishana nae mawazo. Basi tu silka yetu ni ngumu sana kuendana na mazingira.
Upweke unakula mwili taratibu mwisho unaanza chukia wengine wenye watu wa kupiga nao stori.
Si unajua kila mtu anatamani kua na mtu wake..ndio nature ya mwili
Hadi unasahau vingap ulita na usipate..
 
Sawa . Ila hamna dhambi kwenye Ku socialize akili ipumzike. Hauwezi kuchati mambo ya msingi muda wote.
Ni kweli binadamu hatufanani, just why kuna mwingine akipata 10 haliziki anataka 20 na kuna wingine yeye akipata 10 anaridhika.
 
Ni kweli. Mimi naona kuchati hata 24 hrs haina tabu. Kama haikuzuii kufanya mambo ya msingi
Kama hautojali dada,

Naomba kufahamishwa kuhusu haya "Mambo ya Msingi".

Je ni mambo fulani fulani tu specified universally kuwa ndio "Mambo ya Msingi"?

Au haya " Mambo ya Msingi" yanabadilika kutokana na mtu na mtu, mazingira, umri, etc


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu akiwa bize kuchati sio kwamba anaconnection ndeefu inategemeana anachati na nani???


Text zenye vi-emoji vingi mara nyingi huwa washkaji wasio na dili za maana au madem wa uswazi wanapanga kumpuna tu, mie natumia emoji saaaana hapa Jf ila text za boss au workmates sifanyi huu ujinga.

Mie pia mkimyaaa sana kwenye real life ila hapa JF na baadhi ya WhatsApp groups ndo najichetua.

Relax mkuu[emoji56][emoji56]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom