Kweli aisee ndo maana watu tunaitana bar kunywa bia, sometime can happen.Sio lazima kuchat iwe issue za kiofisi tuu Suriya. Maisha sio magumu hivyo.
Bila samahani Puppy.Kama hautojali dada,
Naomba kufahamishwa kuhusu haya "Mambo ya Msingi".
Je ni mambo fulani fulani tu specified universally kuwa ndio "Mambo ya Msingi"?
Au haya " Mambo ya Msingi" yanabadilika kutokana na mtu na mtu, mazingira, umri, etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli. Tufurahie maisha.
Kabisa jinsi unavyokua mkubwa circle ndio inavyokua ndogo, kama huna mwenza/mpo ile stage ya matured relationship ndio unaweza kukaa siku nzima pasi ya kupata text wala call.Sijui inakuaje ila wengine kadri umri unavyoenda ndivyo ambavyo hata circle zetu zinazidi kuwa ndogo, hata nikizima simu siku nzima nikiwasha data huko WhatsApp si ajabu nikakuta text moja au mbili na nina magroup matatu tu, wadau wangu huwa tunakutana bar tu kupiga ulabu.
Exactly !Ka
Kabisa jinsi unavyokua mkubwa circle ndio inavyokua ndogo, kama huna mwenza/mpo ile stage ya matured relationship ndio unaweza kukaa siku nzima pasi ya kupata text wala call.
Haha tuvumiliane tu.hili ni janga la taifa r na lWakuu tujifunzeni kuandika vizuri...
Kujilidhisha...mala kwa mala... turia zimekuwa nyingi saana na hazipendezi.
tupo wengi mkuuJana usiku mida ya saa tatu usiku natoka kwenye mizunguko yangu ya siku kwenye daladala pembeni yangu alikua amekaa kijana rika moja tu na mimi. Mkononi kashikilia smart phone yake anachati macho hayana pazia, ilikua kila baada ya sekunde kadhaa messages zinaingia kuanzia texts za kawaida hadi WhatsApp. Messages kutoka kwa wadada na wakaka pia zikiwa na viemoji mbali.
Nikaanza kujitafakari na mimi text zangu za mwisho ilikua zile za kutakiana heri ya mwaka mpya tena zina blue ticks na response rate ni chini ya 30% text za kawaida ni kutoka Tigo kukujulisha promotion zao. Nimetafakari jibu nikapata network ya watu wangu wapo busy kama mimi au ni introvert character ndio chanzo.
Soma huu uzi utaona unaofanana naoKabisa introvert yeyote atiririke hapa maana kusocialize na extrovert tunashindwa kabisa mara nyingi story zetu na zao hazifanani.
Aisee pole sana tuzidi kupambana na hali zetu.Leo sms za Usajili sijazipata na Nida
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..... whyyyyyyyyyyyyyyyyy......
simu yangu unaweza kudhani nmeweka barring call yani napigiwa kwa jambo maalumu na mimi napiga kwa jambo maalumu hasa biashara,nikiwa na biashara napiga sana na hio sana watu 10.
kwa siku nikipigiwa na watu wa5 tofauti naonaga ajabu kubwa sana. Kuna watu wakipost status viewers hadi 300[emoji3][emoji3] naonaga ajabu wangu mi hata 15 hawafiki. Inaleta upweke sana watu wakiona marafiki zangu wanashangaa sana, na mtu akibahatika kunizoea anastaajabu jinsi niko charming , funny
mi nafikiri kuna watu Mungu katuumba ivyo tu yani hata ukijisocialize mpaka mwisho nobody is giving a fnck about you..
-Halafu hatunaga uvumilivu na chatting , mi kama mtu anaandika hovyo hovyo siwezi kuchat aisee
-niko na bro wangu hanaga shobo na mtu lakini anashobokewa pengine kuliko mtu yoyote mtaani ,contact za kutosha kama 2000 akikanyaga ardhi ya nyumbani kwake dk 0 mtu chee , muda wote watu wanamuulizia , yani naturally tu bro ni kipenzi cha watu.
-Nmezoea hali kiasi kwamba napenda kukaa mahala niko pekeyangu yani kupo kimyaaaa sitaki disturbance , sipendi kukaa mahala watu kibwena ikitokea tumekaa mahala wengi kila mtu anaongea nachanganyikiwa nakua siwi sawa (nilipatwa tatizo zamani nikaambiwa Muhimbili sihitajiki kukaa kwenye kelele kabisa) huwa nafosi tu. View attachment 1311409
Sent using Jamii Forums mobile app
Hako katabia kutokupokea simu na kutuma text introvert wengi wanacho.dah mwenzko tarehe 31 saa 5 usiku nilizima kabisa maana kuona zile mesage za kutakiwa heri ya mwaka mpya nlikuwa staki maana nlikuwa staki hata kuskia naona vurugu tu simu yangu,isipoingia mesage nakuwa na amani na hata ukinipigia simu itaita mpka itakata baada ya hapo ntakutext tu mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka tukome[emoji23][emoji23]Aisee pole sana tuzidi kupambana na hali zetu.
Soma huu uzi utaona unaofanana nao
Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?
Natumai mko wazima na wale wenye changamoto nawapeni pole niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi kwanza sijijui kama ni introvert au anti social au nina vyote kwa pamoja nakumbuka maisha yangu ya chuo yalikuwa mtihani mkubwa sana vitu kama discussion presentation sikuwa napatana navyo kabisa...www.jamiiforums.com