Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Kumbe unaangaliaga bongo movie?? Jumapili njoo Bunju unisimulie.waigizaji wengi hasa movie za kitanzania au maigizo ya luningani ama celebrities..wanaposhut acene wapo bar wanakunywa bia ni lazima wabandue ile karatasi kwenye chupa ya bia yenye brand name..kwanini?
hasa kwa zamani na kwa hizi chupa za safari au kilimajaro..serengeti kabla hawajabadilisha muonekano wa chupa zao!
sababu ni nini?
mbona nchi za watu weupe hawabandui?Kwa sababu ni maigizo
basi hapo sawa..Kuacha Lebo ni kutangaza biashara, ndo maana wanatoa
Sisi sio nchi hizo ndio maana wanatoambona nchi za watu weupe hawabandui?
nlikua naangalia zamani sio sasa hivi..[emoji38] [emoji38] [emoji38]Kumbe unaangaliaga bongo movie?? Jumapili njoo Bunju unisimulie.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ok... kwahiyo hivi sasa umeshakua... uko tayari kutumiwa, right?nlikua naangalia zamani sio sasa hivi..[emoji38] [emoji38] [emoji38]
hapana..hawapendi wenye viwanda vya bia husika wapate wateja.mfano akishika chupa ya serenget wanahisi kama wanawatangazia na kuwaongezea wateja..Sisi sio nchi hizo ndio maana wanatoa
nimekua ndioOk... kwahiyo hivi sasa umeshakua... uko tayari kutumiwa, right?
mbona waendesha bajaji wanapiga tu hawana issue?we unadhani kumtangazia mtu biashara kirahisi tu haikeri .
mi nimepewa mishati 10 imeandikwa shuga sitaki hata kuvaa wala kuwapa vijana wangu siwezi kupiga kampeni bure tu
Ni suala la promotion tu mkuu. Wakitaka watangazwe itabidi walipie.hapana..hawapendi wenye viwanda vya bia husika wapate wateja.mfano akishika chupa ya serenget wanahisi kama wanawatangazia na kuwaongezea wateja..
hatupendani kweli