Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Matamasha makubwa ya wasanii tuliyokuwa tunayaona miaka ya nyuma kama Fiesta na mengine ya Vituo vya Redio naona yanazidi kupoteza mvuto, shida nini wadau?
Matamasha haya mengi imekuwa kiingilio ni bure, wakati miaka kumi iliyopita matamasha mengi miezi hii yalikuwa na viingilio tena vikubwa zaidi ya elfu 10 kwa mtu mmoja, na hali iliyopo sasa ni kwamba vijana waliyokuwepo sasa hawapendi burudani ama ni dalili za vyuma kukaza?
Matamasha haya mengi imekuwa kiingilio ni bure, wakati miaka kumi iliyopita matamasha mengi miezi hii yalikuwa na viingilio tena vikubwa zaidi ya elfu 10 kwa mtu mmoja, na hali iliyopo sasa ni kwamba vijana waliyokuwepo sasa hawapendi burudani ama ni dalili za vyuma kukaza?